Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Uwezo wa kupambanua upate chakula ule huna una uwezo was kupambanua imani tu kifupi una pepo wewe ..I used to be like you
Nani kakuambia sina uwezo wa kupambanua nipate chakula?
Hata kama basi tuseme sina, inamaana nikikosa huo uwezo basi automatically nakosa na uwezo wa kupambanua imani?
Mbona unalinganisha vitu ambavyo havilinganishiki?
Hivi dini imekula asilimia ngapi ya ubongo wako?
 
SAFII SANAA[emoji23][emoji23][emoji23].

Kataa kabisa, usikubali wakulazimishe mambo usiyoyataka,
Hao wazazi waambie serikali haina dini, hivyo hata raia wana haki ya kuishi kulingana na wanachokiamin bila kubugudhiwa na mtu yeyote yule, na wakiendelea kukushurutisha wafungulie page za Kitabu cha sheria na katiba ya nchi wajionee[emoji23][emoji23].

Wakishindwa kukuelewa hapo basi waambie Dini isingekuwepo wangeabudu nini?[emoji23] huyo Mungu wanaempigia makelele makanisani waambie wakuoneshe ni wapi alisema ktk biblia wakutane makanisan? Na je ni kanisa lipi? Na dhehebu lipi? Na siku ipi? Wakikujibu maswali haya kwa mujibu wa biblia, basi kubaliana nao, lkn kwakuwa wao wenyewe pamoja na wachungaji wao hawana uwezo wa kujibu maswali haya, basi achana nao, usifuate ushauri wao.

Ni bora mkosane lkn si kukuforce uamini kitu usichotaka, mimi pia muhanga wa hili tatizo, walitaka mpka kunitenga lkn sikujari, nilikaza fuvu, siwezi kumuabudu Mungu aliyeletwa na watu weupe kwa manyanyaso na mauwaji ya watu weusi, kwanza imani yenyewe yakibaguzi.

KAZA FUVU HAKUNA KURUDI NYUMA
 
Mama yako anataka uwe mcha mungu ukue katika maadili mema
Kingine unakaa kwake fanya kama amri na maagizo mengine siku ukiwa kwako ndo utaamua wewe cha kufanya
Kukua nimeshakua na Maadili mema tayari ninayo. Yani mimi kimaadili nawazidi kaka zangu na dada zangu wanaoshinda kanisani..

Anyways ngoja tufanye kama amri jambo ambalo sio la amri (kuamini)
 
Na dini hizi ndio zimehusika kama tools za uharibifu na maovu yafiyoelezeka kuliko kitu kingine toka dunia hii iumbwe tokea kwenye zile Spanish inquisitions Kule Europe under Roman Catholic , crusades ,witch hunts Kule America , Colonialism na slavery na genocides ,vita vya kidini ,terrorism in jihad vilikuwa justified na dini hizo hizo , kwamba tunaenda kuwatawala ,kuwaua savages na kuwacivilize .
Hadi leo hizo dini zimeendelea kutumika kama tools za kuinstill racial superiority , unakuta jitu limeandika picha ya Cesar Bogare ,au anaabudu lisanamu la bikira Maria mzungu ,wtf ,au anaenda kusujudia makaburi ya mtume muhamad takataka gani sijui
Thankfully wenzetu wanatoka huko, which means its possible oneday kuachana na haya matakataka.
Europe, USA, Russia, China wanaachana na huu upuuzi. Tumebaki watawaliwa tu Middle East na Africa ndo tunapambana nao sikuhizi.
 
SAFII SANAA[emoji23][emoji23][emoji23].

Kataa kabisa, usikubali wakulazimishe mambo usiyoyataka,
Hao wazazi waambie serikali haina dini, hivyo hata raia wana haki ya kuishi kulingana na wanachokiamin bila kubugudhiwa na mtu yeyote yule, na wakiendelea kukushurutisha wafungulie page za Kitabu cha sheria na katiba ya nchi wajionee[emoji23][emoji23].

Wakishindwa kukuelewa hapo basi waambie Dini isingekuwepo wangeabudu nini?[emoji23] huyo Mungu wanaempigia makelele makanisani waambie wakuoneshe ni wapi alisema ktk biblia wakutane makanisan? Na je ni kanisa lipi? Na dhehebu lipi? Na siku ipi? Wakikujibu maswali haya kwa mujibu wa biblia, basi kubaliana nao, lkn kwakuwa wao wenyewe pamoja na wachungaji wao hawana uwezo wa kujibu maswali haya, basi achana nao, usifuate ushauri wao.

Ni bora mkosane lkn si kukuforce uamini kitu usichotaka, mimi pia muhanga wa hili tatizo, walitaka mpka kunitenga lkn sikujari, nilikaza fuvu, siwezi kumuabudu Mungu aliyeletwa na watu weupe kwa manyanyaso na mauwaji ya watu weusi, kwanza imani yenyewe yakibaguzi.

KAZA FUVU HAKUNA KURUDI NYUMA
Kabisaaaaa kumbe tuko wengi aseeeeh.
 
Kama kwa mwamposa Ni heri uchukue jembe ukalime Ila Ni Kama Ni eagt ,fptc,tag ,klpt nenda,Kweli Mungu yupo na anasikia maombi na anabariki,na kimsingi Mungu ananisaidia vitu vingi na nikiweza kusikia sauti yake siku moja.uzinzi na tamaa za kidunia zisikuaminishe kuwa hakuna Mungu
Kuna tofauti gani ya mwamposa na Eagt?
Kanisani hakuna uzinzi na tamaa za kidunia?
 
Imani sio Dini wa dhehebu ila dhehebu na dini lazima imani iwepo.
Ntamfundisha imani ila sio dini wala dhehebu
Imani ipi na haushiriki msikiti wa kanisa
Ama mtafungua lenu nyumbani😅
Ngoja mzae wa kwenu afu tuwaone

Imani pia ni for social reasons,kushiriki na wengine
 
Thankfully wenzetu wanatoka huko, which means its possible oneday kuachana na haya matakataka.
Europe, USA, Russia, China wanaachana na huu upuuzi. Tumebaki watawaliwa tu Middle East na Africa ndo tunapambana nao sikuhizi.
Wamepitia hayo yote na sasa wako kwenye age ya enlightenment hizo piramid schemes za kitapeli za dini walishaachana nazo kitambo , zimebaki huku Africa Kwa misukule kwenye dark ages
 
Tayari umeharibikiwa kwa kiwango kikubwa,Mungu yupo Ila Ni wapumbavu tuu peke yao ndio hukataa uwepo wake
Nimemtafuta Mungu kuliko wewe uliyeaminishwa kirahisi na ukaamini tu blindly.
Nimesoma vutabu vyote, nimesali dini na madhebu karibia yote nimetumia nguvu kubwa sana.
Nikaja kugundua nafukuzia upepo unaenda wapi.
 
Nimemtafuta Mungu kuliko wewe uliyeaminishwa kirahisi na ukaamini tu blindly.
Nimesoma vutabu vyote, nimesali dini na madhebu karibia yote nimetumia nguvu kubwa sana.
Nikaja kugundua nafukuzia upepo unaenda wapi.
Ww Umesoma Ujaelew
 
Back
Top Bottom