Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Ah wewe ni jasiri sana.
Ishu mimi hapa sio kwamba nawaogopa au nini, nachoogopa ni kwamba nikiwaambia hayo wanaweza kufa kwa presha au msononeko maana umri umeenda.
So nawafurahisha not for my good, but for their own good.

Hizo wiki 3 nlizoacha kabla beki 3 kuyatibua, ilikuwa ikifika j2 mama ananinunia siku nzima.
Na unaona kabisa hana furaha ni kama anakuwa na msongo wa mawazo kama mgonjwa.
So nikaamua nikubaliane naye tu kwa afya yake mwenyewe.
Km umeamua hivyo ni sawa pia.
 
Ndo nakuuuliza mtafundishana ndani milele yote na wanao?
Ama imani yako pia ni kuwa hakuna Mungu?
Imani ya kuwa hakuna na Mungu, na Imani ya kuamini Mungu yupo bila kuhusisha Dini na dhehebu ipo pia,
Usichanganye vitu, yeye mwenyewe ndo ataamua afanye kipi.
 
Unajiita mtu mzima uku unasubiri mama yako akuhesabie bajeti yako ya andazi asubuhi??!
Mungu hadhiakiwi subiri yakukute
 
Nimesoma vutabu vyote, nimesali dini na madhebu karibia yote nimetumia nguvu kubwa sana.
Mmmh! Mpaka vya 'Aqidah ya Ahlus Sunnah Wal Jama'ah?

Kisai adriz Kazakh destroyer Msonjo Synonym Njooni mumuone "Mustashriq" wa Jf huku hahahahahahhh!! "Vitoto" vya Richard Dawkins na Sam Harris.

Ila wallah katika watu mna kibri ni watu mnaoabudu matamanio ya nafsi zenu (Mulhiduun/"atheists").

Allahul Musta'aan

Napita.
 
Back
Top Bottom