Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Wewe ulikuwa kwenye maji maji tuu ya manii then Mungu akakupa nafasi ya kuwa mtu,kwenye tumbo la mama yako miezi Tisa,Ni Jambo la ajabu ,Hilo tuu linatosha kukujuza kuwa Mungu yupo na Ni kwa nini hukuzaliwa kima ama Bata ingekuwa afadhali kuliko kuzaliwa huku ukimkana mola wako
 
I am not exceptional, special or much know.
Infact I dont know anything.
Kipindi naamini dini nilidhani I know everything.
Lakini the more I got to know about the way the universe works the more I knew I had known nothing.
Hata wewe sasa unadhani unajua kila kitu na Mungu yupo hakuna zaidi ya hapo.

Lakini siku ukiiweka hiyo ego ya dini yako chini ukaanza kusikiliza pande zote za shilingi, iwe uislam unasemaje, ubudha, uhindu nk. Utagundua kuwa ulikuwa hujui chochote na ukristo wako.

Watoto wangu nitawafundisha kutafuta knowledge na kuelewa jinsi ulimwemgu unafanya kazi.
Sio kwa story za kuhadithiwa sijui Musa alisema hivi, lakini kwa vitu ambavyo tayari ni provable with experiments.
 
Then u simply concluded hakuna Mungu na ibada sio muhimu?
 
Dah umeniharibia siku. Sikutegemea kusoma uzi wa kipumbavu kama huu. Miaka 24 ni mdogo na ubaya zaidi bado unaishi kwenu. Unajisikiaje unavyoona mama yako ananung'unika kwama hamfuati maelekezo yake? Wengi wetu huku town hatuendi kanisani ila tukifika nyumbani ili kumfurahisha mama ile siku ya ibada unabeba na biblia kabisa. Baada ya ibada lazima umsubiri asalimiane na watu wake kisha mrudi wote nyumbani. Mama akikunung'unikia ni mwanzo wa kujitafutia matatizo yasiyo ya lazima. Uache upumbavu wewe. Kama hutaki usumbufu hama hapo kajitegemee.
 
So ni uko bored na ibada na sio km huamini Mungu hayupo?

Utamtafuta kwa Mwamposa sasa ama?
Omba Mungu sana akijalie hekima
Maadam ni msomaji basi akupe ufahamu kwenye vitabu
 
Huyo brainwashed ndiye kamzaa na kumpa hiyo degree , sasa huyu malezi ya mwanaye yatakuwaje, kama hayatakuwa ma'mpotompoto.
Kuwa brainwashed sio ugonjwa wala sio dhambi. Kila mtu duniani ni brainwashed kwa namna moja au nyingine.
Beleive that
 
Wewe huna akili , kabishane na vilaza wenzako , huelewi tunachoongea hapa , kakanyage mafuta ya mwamposa huko ,kabusu masanamu ya bikira Maria na kusugua kichwa kwenye sakafu
 
Ngoja uzae ulee mwanakwetu
Mwanao utamfundisha imani gani huku wewe umeikana?
 
Wewe mtoto unashiriki mapenzi ya Jinsi Moja ( Usagaji) utakuwa nafsi yako inakuhukumu sana kwa kuamua kuwa kwenye kundi hilo la wasagaji siyo akili ya kawaida ya Mwanamke
 
Your ability to reason is below kindergatten
 
Kuwa brainwashed sio ugonjwa wala sio dhambi. Kila mtu duniani ni brainwashed kwa namna moja au nyingine.
Beleive that
Mtii Mama Binti
Kakuweka vizuri maisha yanaenda hadi leo unauliza Mungu ni nani/hakuna Mungu

Maisha safari ndefu utajionea
Ila heri useme Mungu yupo na usimkute kuliko useme hayupo na uje umkute
 
Na wengi wao wanaomkana Muumba wao miongoni mwao ndio wanaofanya maovu na uzinzi na ufiraji na kulawitiwa
Wewe ni mpuuz hao mapadre wakikatoliki wanaoharibu watoto kwa kuwalawiti kesi ziko maelfu huko mpaka Pope anaona aibu ,masheikh wanalawiti watoto wa madrassa kila siku , .Huna akili mastaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…