buti khann
Senior Member
- Jul 13, 2021
- 184
- 66
Haelew umuim wa dinIla una kibrii shoga kidawa
Nashangaa na usomi wako wa Quran hujabaini kuwa mzazi hajibiwi vibaya
Ama huwa mnasoma nini?
Ama ndo Sheta ashakupumbaza?
Usiangalie m2 wwNa wanaosali ni watakatifu?
Kila m2 ata ubeba wa kwakeNa wanaosali ni watakatifu?
Poa mkimpata mtushtue.Ushetani tu
Na mmekata tamaa sijui ama ni stress?
Subirini siku mkute Mungu yupo kweli sijui mtajificha wapi
Ngoja sie tuendelee kumtafuta
Km umeamua hivyo ni sawa pia.Ah wewe ni jasiri sana.
Ishu mimi hapa sio kwamba nawaogopa au nini, nachoogopa ni kwamba nikiwaambia hayo wanaweza kufa kwa presha au msononeko maana umri umeenda.
So nawafurahisha not for my good, but for their own good.
Hizo wiki 3 nlizoacha kabla beki 3 kuyatibua, ilikuwa ikifika j2 mama ananinunia siku nzima.
Na unaona kabisa hana furaha ni kama anakuwa na msongo wa mawazo kama mgonjwa.
So nikaamua nikubaliane naye tu kwa afya yake mwenyewe.
Sasa ww mbona umeangalia watu na kusema wasioamini Mungu ni wazinifu, wasagaji etc?Usiangalie m2 ww
Ohh ww AmIn ayo siku uki jua usha latePoa mkimpata mtushtue.
Sisemi mungu hayupo, ila bado hatujampata.
Umepotea wee.Ohh ww nae umepotea
Sijui degree imehusianaje hapa, nmeacha kuamini mungu nlipoingia form 6Kadegree kamoja ashamkana Mungu
Akiwa na PhD huyu itakuwaje?
Nop sio kweli mwache azin mwache asagane jitazame ww fungukaSasa ww mbona umeangalia watu na kusema wasioamini Mungu ni wazinifu, wasagaji etc?
Unatarajia umpate kivipi?Poa mkimpata mtushtue.
Sisemi mungu hayupo, ila bado hatujampata.
Sitaki kabisa diniNgoj Nikuulize ww unatak din gn au utak kabis din
Amin na kuambia mtu asipo acha uovu bac atateketezwa na shetanUmepotea wee.
Imani ya kuwa hakuna na Mungu, na Imani ya kuamini Mungu yupo bila kuhusisha Dini na dhehebu ipo pia,Ndo nakuuuliza mtafundishana ndani milele yote na wanao?
Ama imani yako pia ni kuwa hakuna Mungu?
Watoto utakaolea mhhh...Sitaki kabisa dini
Ss ww utaish aje na wanao utawalea Kw msing ipi umalaya kushinda baa auSitaki kabisa dini
Kwahyo zimeumbwa na Mungu? Una ushahidi?Nyota zimejiumba kwa hiyo?
Nitoleee ngonjera zako hapaaa, huna cha kuniambia mieAmin na kuambia mtu asipo acha uovu bac atateketezwa na shetan
Mmmh! Mpaka vya 'Aqidah ya Ahlus Sunnah Wal Jama'ah?Nimesoma vutabu vyote, nimesali dini na madhebu karibia yote nimetumia nguvu kubwa sana.