Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Ushetani tu
Na mmekata tamaa sijui ama ni stress?

Subirini siku mkute Mungu yupo kweli sijui mtajificha wapi
Ngoja sie tuendelee kumtafuta
Poa mkimpata mtushtue.
Sisemi mungu hayupo, ila bado hatujampata.
 
Km umeamua hivyo ni sawa pia.
 
Ndo nakuuuliza mtafundishana ndani milele yote na wanao?
Ama imani yako pia ni kuwa hakuna Mungu?
Imani ya kuwa hakuna na Mungu, na Imani ya kuamini Mungu yupo bila kuhusisha Dini na dhehebu ipo pia,
Usichanganye vitu, yeye mwenyewe ndo ataamua afanye kipi.
 
Unajiita mtu mzima uku unasubiri mama yako akuhesabie bajeti yako ya andazi asubuhi??!
Mungu hadhiakiwi subiri yakukute
 
Nimesoma vutabu vyote, nimesali dini na madhebu karibia yote nimetumia nguvu kubwa sana.
Mmmh! Mpaka vya 'Aqidah ya Ahlus Sunnah Wal Jama'ah?

Kisai adriz Kazakh destroyer Msonjo Synonym Njooni mumuone "Mustashriq" wa Jf huku hahahahahahhh!! "Vitoto" vya Richard Dawkins na Sam Harris.

Ila wallah katika watu mna kibri ni watu mnaoabudu matamanio ya nafsi zenu (Mulhiduun/"atheists").

Allahul Musta'aan

Napita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…