KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Wazazi wa dotcom heheImani ya kuwa hakuna na Mungu, na Imani ya kuamini Mungu yupo bila kuhusisha Dini na dhehebu ipo pia,
Usichanganye vitu, yeye mwenyewe ndo ataamua afanye kipi.
NtawapelekaSubiri uzae wa kwako Mama wasijue mlango wa kanisa ama msikiti
UpoKwahyo zimeumbwa na Mungu? Una ushahidi?
We una ushahidi zimeumbwa na nani?Kwahyo zimeumbwa na Mungu? Una ushahidi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ntawapeleka
Ww tenaNitoleee ngonjera zako hapaaa, huna cha kuniambia mie
Fresh tu, hata mkiutupa jalalani mwili uoze haitanihusu maana sitakuwepo.Skia bint umuhim w din n mzur maan siku y kufa kwako tutakuzik kma masai s haun din
Watakuwa kma mama yaoNtawapeleka
Sawaaaah.Wazazi wa dotcom hehe
Haya mwaya
Una ushahidi wa hili?Then Mungu akakupa nafasi ya kuwa mtu
Ivi ww kwann unawaz mambo hayoFresh tu, hata mkiutupa jalalani mwili uoze haitanihusu maana sitakuwepo.
Mimi sio mhuni mkuuSisi tulikuwa hatufai wahuni zaidi yako lakini sasa ,tumejua ya kuwa Mungu yupo
Wata mshida wKiwa n miak 9 tuUnamkana Mungu ila watoto utapeleka kanisani
Usiwapeleke mwaya Mungu si hayupo ?
Kaa nao uwafundishe Sayansi tu
Ndyooooo mie.Ww tena
Ww n saw n muhun mvuta bange maana hao ndio awa aMinMimi sio mhuni mkuu
Ila usi changie Kuharibik kwa mwwnzakNdyooooo mie.
JifunzeNdyooooo mie.