Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Then u simply concluded hakuna Mungu na ibada sio muhimu?
Nope sijasema hakuna Mungu. Anaweza akawepo, ila mpaka sasa hatujampata. Na hawa Mungu wote wanaohubiriwa hawapo.

Kwahyo kama hatujampata kwanini tuamini?
Atheism is not the beleif that there is no god.
Atheism is the lack of beleif in god.
Elewa tofauti hapo.

Ibaada ina umuhimu wake kwa waumini, ila kwangu mimi sasa haina umuhimu
 
Nimekuelewa
 
Mungu anasikia ilo
 
Kwahiyo humu ndo kanisani kwako
 

Kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa andiko lako, umedhihirisha:

1. Ni jinsi gani huna nidhamu kwa Mama.
2. Ni jinsi gani huna midhamu kwa Mungu.
3. Ni jinsi gani unakwenda kuharibikiwa.
4. Jinsi gani una kiburi.

Note : Mama hana haki ya kululazimisha wewe kwenda Kanisan, ila huyu Mama anakupenda sana na anacholazimisha kina maana.
 
Kama una note book andika nitayakumbuka yote nilio sema wakat nimechelew
 
Mi naomba nikuulize swali unijibu..
Je kitu ambacho hakipo kinaweza tengeneza kitu ambacho kipo na kinaonekana?
 
Reactions: Cyb
Skia fany yaish
 
Mtii Mama Binti
Kakuweka vizuri maisha yanaenda hadi leo unauliza Mungu ni nani/hakuna Mungu

Maisha safari ndefu utajionea
Ila heri useme Mungu yupo na usimkute kuliko useme hayupo na uje umkute
Kama yupo actually itakuwa kosa lake kutojiweka wazi....hebu fikiria, Mungu angekuwepo tungekuwa tunabishana hivi juu ya uwepo wake?
Mbona hatubishani hivi juu ya uwepo wa Trump au Putin?

Au mumgu wenu amejificha makusudi?
 
Kama yupo actually itakuwa kosa lake kutojiweka wazi....hebu fikiria, Mungu angekuwepo tungekuwa tunabishana hivi juu ya uwepo wake?
Mbona hatubishani hivi juu ya uwepo wa Trump au Putin?

Au mumgu wenu amejificha makusudi?
Mungu ni neno
 
Kama yupo actually itakuwa kosa lake kutojiweka wazi....hebu fikiria, Mungu angekuwepo tungekuwa tunabishana hivi juu ya uwepo wake?
Mbona hatubishani hivi juu ya uwepo wa Trump au Putin?

Au mumgu wenu amejificha makusudi?
Mungu hutafutwa kwa maomb na kunyenyekea
 
Dah mimi kwa hali hii nayoina nitarusha taulo nirudi nyuma..Maana kama mama anapata msononeko na mawazo kisa sijaenda kanisani, sio sawa.
Wacha nijiumize tu kumfurahisha, Maisha haya mafupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…