She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
- Thread starter
-
- #341
Hehe, they cant even practise what they preach....wanatukana sana humu kutetea dini zao ambazo zinakataza matusi na kujudge mtu.Ignorance is deeply ingrained in so many people ,nadhani unaona
Omba na kuwa mtakTif tii amri zakeHili swali nlishajibu huko juu, japo mwenzio aliuliza kivingine.
Mungu anapatikana wapi? Mie nimfate nikazungumze nae
Yaan mie nakerekwa na wafia dini, hasa wakianza kunihusisha na mie.Tuko wengi ni vile hatuna majukwaa rasmi wala sehemu rasmi ya kufikisha Utambuzi wetu, maana dunia nzima imejazwa na vilaza wanao amini UPUMBAVU WA DINI...
Amri zipi hizo?Omba na kuwa mtakTif tii amri zake
Hahaha din ni nn kwanYaan mie nakerekwa na wafia dini, hasa wakianza kunihusisha na mie.
Dah, it is not normal...Absurdity is an understatement.Wamepitia hayo yote na sasa wako kwenye age ya enlightenment hizo piramid schemes za kitapeli za dini walishaachana nazo kitambo , zimebaki huku Africa Kwa misukule kwenye dark ages
Usiue wahesm baba na mma ishike kitakatif sku ya sbat nkAmri zipi hizo?
Una muuliza nani?Hahaha din ni nn kwan
Naona mna shindwa kuelew kat ya dini na mungUna muuliza nani?
Wazazi nawaheshimu vile sanaaa,Usiue wahesm baba na mma ishike kitakatif sku ya sbat nk
Okay, basi wewe uliyeelewa niulize swali lolote la kidini...Dini yoyote dhehebu lolote.(Katika Uislam na ukristo)Ww Umesoma Ujaelew
Nyie ndo mnashindwa kuwlewa, sio sisi wala hataNaona mna shindwa kuelew kat ya dini na mung
Nmeomba moja tuZip nyingiii
Acha kumtabiria ujinga mwenzako, hilo dua la kuku tu, hata hivyo Huyo Mungu wa dini hakuna sehemu kasema uende kanisani, pia huyo Mungu kawaumba mkiwa na free will hajawai washurutisha kufanya lolote lile sasa mzazi ni nani aingilie uhuru wako ikihali huyo mnaesema Mungu hajawai kuingilia uhuru huo?Kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa andiko lako, umedhihirisha:
1. Ni jinsi gani huna nidhamu kwa Mama.
2. Ni jinsi gani huna midhamu kwa Mungu.
3. Ni jinsi gani unakwenda kuharibikiwa.
4. Jinsi gani una kiburi.
Note : Mama hana haki ya kululazimisha wewe kwenda Kanisan, ila huyu Mama anakupenda sana na anacholazimisha kina maana.
Angalia usifate dini fata mafundish ya mung sawOkay, basi wewe uliyeelewa niulize swali lolote la kidini...Dini yoyote dhehebu lolote.(Katika Uislam na ukristo)
Hahah una imani kali sana...kwamba binadamu hawezi kuishi bila kuabudu kitu.Maisha yako kiroho..kama huoni faida mimi ni nani?
Umeanza kwa kumkana Mungu sasa muda si mrefu nafsi yako itapata cha kuamini na kuabudu...hold on tight ur almost there
Usi angalie hapa tazama mbele siku za kufa kwakoNmeomba moja tu
Beyond absurdityMfano eti papa wa Roman Catholic anajiita God representative on Earth ,how stupid you have got to be to believe in shit like that ,hayo makanisa mengine yaliyobaki ndio hao wazee wa sadaka ,kukanyaga mafuta na takataka nyingine kule kwa wavaa kobaz nako vitimbwi haviishi ni kuvaa mabomu na kujilipua , kulazimisha upuuz wao kwa wengine . Crazy shit