cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Naabudu kwa imani yangu.Kwaiy ww hausali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naabudu kwa imani yangu.Kwaiy ww hausali
If i have time ya kuwalea, ntakaa nao..but if im busy ntawapeleka kanisan wanisaidie kulea.Unamkana Mungu ila watoto utapeleka kanisani
Usiwapeleke mwaya Mungu si hayupo ?
Kaa nao uwafundishe Sayansi tu
Wap apoNaabudu kwa imani yangu.
Lets betWata mshida wKiwa n miak 9 tu
Thanks for judgingWw n saw n muhun mvuta bange maana hao ndio awa aMin
Haha unazingua atawapokea nan akat ww hutak knsaIf i have time ya kuwalea, ntakaa nao..but if im busy ntawapeleka kanisan wanisaidie kulea.
Prove point 1 and 4 pleaseKuanzia mwanzo mpaka mwisho wa andiko lako, umedhihirisha:
1. Ni jinsi gani huna nidhamu kwa Mama.
2. Ni jinsi gani huna midhamu kwa Mungu.
3. Ni jinsi gani unakwenda kuharibikiwa.
4. Jinsi gani una kiburi.
Note : Mama hana haki ya kululazimisha wewe kwenda Kanisan, ila huyu Mama anakupenda sana na anacholazimisha kina maana.
Huon unampa mama taabuLets bet
ShemasiHaha unazingua atawapokea nan akat ww hutak knsa
kanatoa machoNmesoma Sirat Rasul Allah ya Ibn Ishaq
Sunan Nassai
Al Tabari
Sahih Muslim
Muqqadimah
Ar-raheeq Al-Makhtum nk. Nk.
Halaf wanawake huwa na iman ww vipThanks for judging
Haipo iyo adminShemasi
Dhihaka haina nafasi katika uzi huuDhihaki vingine ila sio Mungu
Uong 2huyu siyo Mshana Jr kaja na ID mpya kweli at level ya form 6 awe amesoma vitabu vyote hivyo and at age of below 20........tena vya dini zoteee zilizopo duniani
Nitazameje kitu kisichojulikana?Usi angalie hapa tazama mbele siku za kufa kwako
NdioNitazameje kitu kisichojulikana?
Umeyaona?Tunakufa lkn kuna masha baada y kifo
Ukisom vitab utajuaUmeyaona?
Prove point 1 and 4 please