Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

huyu siyo Mshana Jr kaja na ID mpya kweli at level ya form 6 awe amesoma vitabu vyote hivyo and at age of below 20........tena vya dini zoteee zilizopo duniani
No mkuu, kipindi wenzangu wanakariri Binomial expansions nilikuwa nasoma dini...ilikuwa kama passion yangu.
Maana nilikuwa naamini mungu ndio huwa a anipa majibu ya mtihani nifaulu.
 
Back
Top Bottom