Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Nani alikudanganya Taboo lazima ihusiane na dini au miungu?? Hivi hizo definitoons unatolea dictionary gani?
Au wewe unaongelea taboo za kidini?
Kuna taboo nje ya dini.

Yani Taboo ni greater than dini itself.
Hata mkikubaliana wewe na washikaji zako ni marufuku mtu wenu kuwa shabiki wa yanga..hiyo inakuwa taboo kwenu.

Mfano wa taboo moja nimekupa hapo ya kukataza wanawake kula map*mbu ya ngombe/mbuzi hiyo inahusiana na dini gani??

Taboo nyingine rahisi hapa bongo ni kama taboo hairuhusiwi mwanamke kumtongoza mwanaume, ataonekana malaya.

Lakini haihusiani na dini, wala dini hazijakataza.
 
Dini hailazimishwi co ww simamia msimamo wako tu na ukiona imekuwa shida San tafuta mishe ambayo utakuwa unaenda had jumapili ili kuepusha mzozo na asilimia kubwà kanisan hawaruhusu simu co utajipa tabu ww simama na msimamo wako na ukienda kanisani kisa mtu hiyo dhambi tiyar fanya kile moyo wako unatak
 
Malizana na wazazi wako huko huko, ikiwa hutaki kuamini waeleze hivyo, ikiwa unataka kuamini amini basi.
 

Kwa sehemu uko sahihi lakini Kwa sehemu pia haupo sahihi
Taboo mara nyingi ni kitu kilichokatazwa kidini na pia kijamii. Ni negative norms zilizokatazwa
Dini ni sehemu ya Social aspect.

Mimi kukubaliana na Wewe Jambo haiitwi Taboo,
 
Usahihi ni upi?
Wewe umepotoka kwa kutoamini katika MUNGU WA KWELI.

Mama yako naye amepotoka kwa kukulazimisha wewe kuabudu udanganyifu aliorithi kutoka kwa wazazi wake. Ni udanganyifu sababu kila kanisa linalo abudu siku ya Jumapili siyo kanisa la KWELI la MUNGU.

Hata kama mama yako angekuwa anaabudu katika kanisa la KWELI la MUNGU, bado hatakiwi kukulazimisha kuifwata njia yake.
MUNGU wa KWELI halazimishi watu kumwabudu, bali wamwabuduo humwabudu kwa hiari yao wenyewe, tena katika roho na KWELI.

Hivyo, utaona ni jinsi gani nyote wawili, wewe na mama yako mmepotoka.
 
Ukitaka kujua watanzania wengi ni wajinga soma hizi comment
 
Dini ni zao la kutokuepo sheria za kumuongoza binadamu tangu bronze age, iron age,, so mbadala wa sheria kama za zama zetu, mababu walibuni miiko nA ndo ikazaa imani na kuabudu miungu
 
Okay sijajua uislam mkuu...it seems uislam ni very complicated subject..binadamu wa kawaida hawezi kuelewa kirahisi.

And if that's so, then kwann mungu aliucomplicate ili wachache waelewe?

Btw, huna jipya la kuniambia kuhusi uislam.

Ongezea tena fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na mtu mwingine ambaye hakuwahi kukujua, hakujui na wala hatakujua wewe mmatumbi.
Woe unto each sinful liar,
Who heareth the revelations of Allah recited unto him, and then continueth in pride as though he heard them not. Give him tidings of a painful doom.
45:7-8
 
Dini ni zao la kutokuepo sheria za kumuongoza binadamu tangu bronze age, iron age,, so mbadala wa sheria kama za zama zetu, mababu walibuni miiko nA ndo ikazaa imani na kuabudu miungu

Unaweza kuwa Sawa.

Kwenye Norms kuna Aina kuu NNE.
1. Folkways
2. mores
3. Taboos
4. Laws
 
Kwenye biblie kuna amri ya kuheshimu wazazi na pia kuna maelekezo kwa mzazi kulea watoto wake katika Imani so mzazi wako yuko sahihi kuna siku utakuja kumshukuru ila kwa sasa endelea kushupaza shingo mpaka ikatike.
 
Kwa sehemu uko sahihi lakini Kwa sehemu pia haupo sahihi
Taboo mara nyingi ni kitu kilichokatazwa kidini na pia kijamii. Ni negative norms zilizokatazwa
Dini ni sehemu ya Social aspect.

Mimi kukubaliana na Wewe Jambo haiitwi Taboo,
Mkuu utamaduni ni somo paaana sana lenye aspects nyingi sana kama language,arts, rituals, norms, beleifs, customs, taboos, ethics nk. Nk.
Hapo religion ni aspect mojawapo tu ya utamaduni.
Tena ni aspect ndogo sana maana inafall ndani ya aspect ya beleifs, na imani zipo nyingi za kidini na zisizo za kidini.

Mfano hata hapa bongo kuna viimani vingi mfano jicho likicheza kuna mgeni au jambo fulani litatokea, mvua na jua kuna simba anazaa, ukioga baharini unaondoa gundu, watu wafupi wote ni wabishi nk. Nk.
ila sio imani za kidini.

So dini ni kakipengele kadogo sana kwenye swala la utamaduni.
Ambako ndani yake kuna taboos zake.

Lakini Taboos nje ya dini zipo nyingi kuliko hata hizo za ndani ya dini.
Mfano ni taboo kwa wamasai kula samaki, jamii nyingi ni taboo kula mbwa, ni taboo kubusu wazazi mdomoni, ni taboo kukiss hadharani nk. Nk.
Vyote hivi havihusiani na dini.

Kukubaliana na mtu sio taboo...ila pale mtakapo kubaliana kukataa kitu fulani na ikawa ndani ya utamaduni wenu wa maisha ya kawaida kuwa hairuhusiwi kufanya jambo fulani kwenye jamii basi hiyo by definition ni taboo.

Hata wewe nyumbani kwako ukisema hairuhusiwi mtu wa hapo kuvaa nguo nyeusi, itakuwa taboo ya nyumbani kwako.
 
Kwenye biblie kuna amri ya kuheshimu wazazi na pia kuna maelekezo kwa mzazi kulea watoto wake katika Imani so mzazi wako yuko sahihi kuna siku utakuja kumshukuru ila kwa sasa endelea kushupaza shingo mpaka ikatike.
Sasa mimi kumbuka siamini hiyo bible
 
Woe unto each sinful liar,
Who heareth the revelations of Allah recited unto him, and then continueth in pride as though he heard them not. Give him tidings of a painful doom.
45:7-8
Ongezea fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na mtu mwingine ambaye hakujui na wala hatakujua wewe mmatumbi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…