Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Dah sijui ingekuwaje endapo tungekuwa uhusiano. Nimehuzuni sana.

Toka hapo kwa mama yako wewe pumbavu
Umeelekezwa vizuri unaleta ubishi maandazi kama unaona unayajua sana kakae kwako uishi utakavyo. Mbwa mshenzi
Kwa kumtukana na kumuita mbwa na wewe utajiita una imani kweli??
 
Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako..ila wewe hapo unatengeza tu ushuhuda..sauli ndo alikua mbane lakini alipo kutana na Simba wa yuda mmhhh...alipondwa pondwa akafinyangwa finyangwa mengine Ni historia,am done.
 
Kuelekezwa sijakataa. Kama anataka anihubiri na kunielekeza ni sawa. ila sio kunilazimisha.
Kwenda kanisani sio jambo la shurti.
Kwa jinsi ulivyoweka hoja yako na jinsi unavyoitetea inaonyesha wewe kijana una uwezo mkubwa sana wa kiakili, kuchambua mambo na kusimamia unachokiamini. Pamoja na kwamba kama mzazi najua kwa nini mama yako anafanya afanyavyo, lakini bado narudia kusema uko very intelligent. Wengi humu hawatakuelewa kwa sababu ya mazoea ya namna jamii yetu inavyofikiri na kukariri mambo. Ushauri wangu kama nilivyosema hapo juu jaribu kwenda makanisa ya zamani ROMA, Lutheran etc ili uone na pengine utashawishika. Sasa ukiachana na hoja yako iliyoko mezani mimi sijui umesomea nini lakini huko mbele ya safari utakuja kuwa very potential, hasa kama kiongozi, ni nadra sana kuona vijana wa leo wenye misimamo, kujiamini na kusimamia wanachokiamini.
 
Ongezea fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na mtu mwingine ambaye hakujui na wala hatakujua wewe mmatumbi.
And when Our clear revelations are recited unto them, they who look not for the meeting with Us say: Bring a Lecture other than this, or change it. Say (O Muhammad): It is not for me to change it of my accord. I only follow that which is inspired in me. Lo! if I disobey my Lord I fear the retribution of an awful Day.

10:15
 
Je umewahi kufikiria kwenda kwenye imani ya dini ya Kiislamu?
 
Ikifika Jumapili wewe zuga tu kwamba unaenda kanisani,ukiamka asubuhi jitayarishe Kisha chukua Biblia yako na utoke ujifanye unaenda kanisani...ukifika huko njiani fanya diversion uingie kijiweni ukapige story na Wana ama uende kwenye movie😂
 
Ongezea fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na mtu mwingine ambaye hakujui na wala hatakujua wewe mmatumbi.
And when Our clear revelations are recited unto them, they who look not for the meeting with Us say: Bring a Lecture other than this, or change it. Say (O Muhammad): It is not for me to change it of my accord. I only follow that which is inspired in me. Lo! if I disobey my Lord I fear the retribution of an awful Day.

10:15
 
Aiseeee [emoji23] [emoji23]
 
Mmh sawa, sikuile nilitaka kumpasha na kumchenjia pale sebuleni...ila nikaona mama yupo haitokuwa sawa.
Wala huna haja ya kumkaripia, labda kama alikwambia kwa njia ya kukushushia heshima ila kama aliongea politely wala huna haja ya kumkasirikia.
 
Nimeishia tu kwamba una miaka 24, sioni haja ya kuendelea kusoma,


Jibu;
Wewe siyo mtoto, hivyo siyo sahihi kulazimishwa mambo ya imani, wanatakiwa wakushauri kwa busara.
 
Ndiyo maana nilisema hapo juu huyu kijana ni very knowledgeable, wengi humu hivyo vitabu, kama kweli umevisoma, hawajavigusa au wanesoma vichache sana, na sababu kubwa ni kutopenda kusoma na kujielimisha. Ndiyo maana kwenye arguments hapa utaambulia matusi, kejeli na mambo ya kufuata mkumbo tuuu..
 
Mi natamani sana nipate mdada mwenye akili kama huyu, mwenye uwezo wa kutafakari.

Umenifurahisha sana, una akili na nzuri zaidi ni hiyo avatar ya mirabel, watu wanaongalia animation movies wana akili nyingi
Hakuna mke hapo kama anabishana na mzazi wake wewe atakusikiliza?
 
Hata hio 0.000000001% tayari kuna imani ndogo juu ya uwepo wake, Yesu alisema imani ndogo mfano wa punje ya haradali unaweza fanya mambo makubwa mno, sasa hio sio completely zero, imani yako ndogo hio imepelekewa na sababu zipi?
God could be there, Im not saying God is there.
Understand the differenece
 
Jehanam ipo kwa ajili ya wanao kaidi, na paradiso ni kwa ajili ya wanao tii UKO HURU KUCHAGUA mahali upapendapo,
Kama Jehanam ipo waambie waniongezee kuni, waichochee kabisa.
Nyie ndio mnaamini kuna Babu chrismas na Popo bawa?
 
Nilitegemea aina hii ya makanisa. Nina swali je umewahi kufikiria kwenda yale makanisa kama ROMA au Lutheran? I mean yale makanisa ya zamani ambayo tulikuwa nayo kabla ya haya ya mwendokasi??
Kuna tofauti gani kule?
 
Mkumbuke muumba wako siku za ujana wako..ila wewe hapo unatengeza tu ushuhuda..sauli ndo alikua mbane lakini alipo kutana na Simba wa yuda mmhhh...alipondwa pondwa akafinyangwa finyangwa mengine Ni historia,am done.
Aah bro, Mimi sio Sauli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…