Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Utayakumbuka majira haya na utayatamani na hutayapata.
 
Imani ya kikristo inazalisha Aesheists wengi mno mna sio imani sahihi ndo mna wengi wasioamini Mungu wametokea huko kwenye ukristo

Am proud to be a Muslim
Hii ni kweli hii , hizi ni takwimu za mwaka jana ukiristo umeporomoka vibaya mno mpaka kufika chini ya asilimia 50% katika nchi yenye wakiristo wengi kabisa .Na idadi kubwa wakikimbilia kwenye Atheism na Uislamu kwa kiasi fulani .Baada ya miaka kumi panapo majaaliwa inaweza ikafika asilimia 20% idadi ya wakiristo UK au pungufu zaidi.



Mimi naona Africa tu kwa sasa labda na American kusini kwa mbali ukiristo wafuasi hawapungui kwa kasi...

cc Execute ukikaidi utapigwa2 Stress Challenger che mitoga
 
Dah mbaya sana...inaonekana Africa na America kusini bado wana akili mgando
 
( وَقُلْ جَاءَ الْحَقُّ وَزَهَقَ الْبَاطِلُ ۚ إِنَّ الْبَاطِلَ كَانَ زَهُوقًا )

الإسراء (81) Al-Israa

Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!


Allah hajakosea
Time will tell
 
Weka fungu lingine tena kutoka kitabu kingine kilichoandikwa watu wengine kwaajili ya watu wengine ambao hawana undugu na wewe na kipindi wanaandika hawakuwa wanakufikiria wewe mmatumbi
 
Imani ya kikristo inazalisha Aesheists wengi mno mna sio imani sahihi ndo mna wengi wasioamini Mungu wametokea huko kwenye ukristo

Am proud to be a Muslim
Asilimia ya waislamu, hasa wanaoishi katika nchi inayotawaliwa na sheria za kiislamu, hawawez kisema kua hawaamini. Watabaki tu kua ile 'muislamu jina' ila sio waislam kama quran inavotaka muislam awe. Wakristo wao dini yao haina vitisho sana kwahio hawaogopi kusema sio waamin tena. Kuna wakristo jina pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakiruhusu dini iwe free, middle east yote itakuwa secular.
 
Wakiruhusu dini iwe free, middle east yote itakuwa secular.
Dubai wao since 2019 mpaka leo wameanza 'kulegeza' usilamu wao. Hakuna tena sharia law wala nn... nilikua kwenye kundi moja telegram na watu wa dubai, walikua wanashangaa jinsi Nigeria walivo wakali na sheria za kiislamu, wakisema kua hayo ni mambo ya kale...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ata iyo ofisi unoyofanya kazi kuna miiko ya kazi ukiivunja you are fired
Sasa ije kua dini tena alotuletea Muumba wa mbingu na Ardhi na vyote vilivyomo

Embu jitafakari tena kuisema iyo kauli
 
Weka fungu lingine tena kutoka kitabu kingine kilichoandikwa watu wengine kwaajili ya watu wengine ambao hawana undugu na wewe na kipindi wanaandika hawakuwa wanakufikiria wewe mmatumbi
Kwani umeambiwa ww ? M nimemwambia adriz sio ww
 
Mtoa mada ana uoni (upeo) hafifu. Mwepesi kuhitimisha masuala mazito bila ushahidi jadidi. Aibu!
 
Huyu jamaa amelelewa na single mother ndio maana anakuja kutusumbua huku, mzee huwa hasemi mara 2. Mara 1 usipoelewa utatembezewa bakora mapaka useme pooo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Elon musk mwenyew hana dini. (Haabudu mungu yyte)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo kama haya ndio huwa yanaonyesha ni kiasi gani watu wanamthamini Mungu wanae muabudu.

Katika Uislamu hii kesi ingetazamwa katika engo tofauti.

Ukiitaza vizuri hii kesi utagundua kuna mambo mawili.

1. Ni suala la mleta mada kutomtii mama yake, ambae anamuamrisha kumtii Mungu( kwenda kanisani)

2. Ni suala la mleta mada kumkufuru Mungu(kupinga uwepo wake).

Hapo kosa kubwa ni lipi?

Sasa badala ya kulinganiwa arudi kwenye mstari kwa kumrudia muumba wake, badala yake anakandiwa kwa kutomtii mama yake.

Ilhali kama atarudi kwenye mstari na kumtii muumba wake, basi automatically atamtii mzazi wake, maana ni amri kutoka kwa muumba wake kuwatii wazazi.

Ila kama ameamua kuwa atheist hivyo ajabu ipo wapi asipo mtii mzazi wake, ikiwa aliye muumba hamtii.

Kwani maatheist wanafuata muongozo gani?
 
Sijawahi kuona mtu anayesali na kuzingatia muda wa Shughuli nyingine asifanikiwe,rudia kusoma kuzingatia muda wa Shughuli nyingine.
Nimekaa na Ndugu zangu Wacatholic,Walutheri na Waislam wanaozingatia masaa ya ibada na kazi/masomo wanefanikiwa sana.
Ni jukumu lako kuchagua kumtumikia Mungu wa kweli au Kuishi Maisha yako.

Hii ni pamoja ya kuwatendea wema watu wote bila kujali undugu,ukabila,udini,kujitoa Kwa wengine na kusaidia makundi yote yasiyojiweza.
Kazi kwako.
 
Reactions: Cyb
Elon musk mwenyew hana dini. (Haabudu mungu yyte)

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa katika makuzi yake kakulia dini "evangilism", kajifunza sana na baadae kajifunza TM meditation kwa mujibu wa vyanzo vya mtandaoni. Na hakuna sehemu kasema hakuna Mungu. Pia kafikia level ambayo ana mambo yake kagundua mwenyewe. Huyu at 24 anakaa home halafu anawadindia😆😆. Kesho mfano akisema yeye ni member wa LGBTQ anaomba aeleweke kuwa ni haki ya kila mtu na jinsi alivyoumbwa🤗?
AKIWA KWAO AFATE SHERIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…