mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mtoto sio wakeIshu ni kwamba wametengana na mtoto yupo kwa mama yake sasa je.? Ataruhusiwa kumchukua ili aende nae kwao na mama yake abaki kwasababu hataki kwenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto sio wakeIshu ni kwamba wametengana na mtoto yupo kwa mama yake sasa je.? Ataruhusiwa kumchukua ili aende nae kwao na mama yake abaki kwasababu hataki kwenda
kama ni jibu vileBila shaka ni imani za kishirikina. Huyo dada atakuwa kaambiwa bibi au babu au wote wanga watamroga mwanae.
Nmeshuhudia vitu vya namna hii sana madada wanaamini haya mambo sana na huko makanisani wanawambia vitu kama hivi.
Hapo itabdi demokrasia ikishindikana atumie nguvu hakuna namna
Huyu ni wewe unaomba ushauri kimya kimya kataa mahusiano na wanawake wa kaskqziniHabarini za jioni wapendwa
Natumaini mu waziwa wa afya naomba kwa mwenye uelewa wa mambo haya aweke mchango wake hapa ili kusaidia jamii iko hivi jamaa alioa mwanamke akalipa mahali lakini hawakufunga ndoa ya kupewa cheti sasa wakapata mtoto mmoja baada ya mtoto kufika miaka miwili ao wazazi wakaachana na chanzo ni kwamba binti hataki mtoto aende upande wa Baba yake kwenda kusalimia wakamuone mjukuu swali ni je.? Jamaa anaweza kwenda usitawi wa jamii waruhusu yeye kumchukua mtoto na kumpeleka kwao akasalimie awajue ndugu zake ikiwa mama yeye amegoma hataki kwenda naomba kwa wenye uelewa zaidi watoe maoni yao hapa watu wajifunze kupitia kisa hiki
NB: Kwa sasa uyo binti anataka kusafiri aondoke hapo kwao aende sehemu ambayo mzazi mwenzake haijui je apo pia imekaaje.
Naomba kuwasilisha .
Sio wake 100% aanze na dna sio stori za wamefananaMtoto ni wake 100% tafadhali toa maoni nini afanye kwenye situation kama hii
je hao wazazi wana dini gani?tukipata jibu ndipo msaada tutautoa vizuriHabarini za jioni wapendwa
Natumaini mu waziwa wa afya naomba kwa mwenye uelewa wa mambo haya aweke mchango wake hapa ili kusaidia jamii iko hivi jamaa alioa mwanamke akalipa mahali lakini hawakufunga ndoa ya kupewa cheti sasa wakapata mtoto mmoja baada ya mtoto kufika miaka miwili ao wazazi wakaachana na chanzo ni kwamba binti hataki mtoto aende upande wa Baba yake kwenda kusalimia wakamuone mjukuu swali ni je.? Jamaa anaweza kwenda usitawi wa jamii waruhusu yeye kumchukua mtoto na kumpeleka kwao akasalimie awajue ndugu zake ikiwa mama yeye amegoma hataki kwenda naomba kwa wenye uelewa zaidi watoe maoni yao hapa watu wajifunze kupitia kisa hiki
NB: Kwa sasa uyo binti anataka kusafiri aondoke hapo kwao aende sehemu ambayo mzazi mwenzake haijui je apo pia imekaaje.
Naomba kuwasilisha .
Wazazi ni Wakristo wote.je hao wazazi wana dini gani?tukipata jibu ndipo msaada tutautoa vizuri
Hili pia no wazo muhimu litafanyiwa kaziAache kumpa hela ya kumtunza mtoto mpaka atakapo ruhusu mtoto kwenda kwa babu na bibi yake
Bado ujakua ukikua utaachaMtoto wa zinaa bila ya ndoa ni mali ya mama .
Pole...zamani kabla ya kuoa tuliwashirikisha wazee....nyumba kidole....pale sawa pale si sawa....wa mjini wakatucheka ati twatafutiwa nke wa kuoa......!@@@Habarini za jioni wapendwa
Natumaini mu waziwa wa afya naomba kwa mwenye uelewa wa mambo haya aweke mchango wake hapa ili kusaidia jamii iko hivi jamaa alioa mwanamke akalipa mahali lakini hawakufunga ndoa ya kupewa cheti sasa wakapata mtoto mmoja baada ya mtoto kufika miaka miwili ao wazazi wakaachana na chanzo ni kwamba binti hataki mtoto aende upande wa Baba yake kwenda kusalimia wakamuone mjukuu swali ni je.? Jamaa anaweza kwenda usitawi wa jamii waruhusu yeye kumchukua mtoto na kumpeleka kwao akasalimie awajue ndugu zake ikiwa mama yeye amegoma hataki kwenda naomba kwa wenye uelewa zaidi watoe maoni yao hapa watu wajifunze kupitia kisa hiki
NB: Kwa sasa uyo binti anataka kusafiri aondoke hapo kwao aende sehemu ambayo mzazi mwenzake haijui je apo pia imekaaje.
Naomba kuwasilisha .
Mtoto ni wake 100% kumbuka haya yanatokea baada ya wao kutengana ila mwanzo mambo yalikua vizuri tu na walikua wanaenda kwa wazazi wa pande zote bila shidaSio wake 100% aanze na dna sio stori za wamefanana
Mtoto ni wake 100% kumbuka haya yanatokea baada ya wao kutengana ila mwanzo mambo yalikua vizuri tu na walikua wanaenda kwa wazazi wa pande zote bila shidaMtoto sio wake
Babu na Bibi walishakaa nae sana uyo mtoto kwa muda tu ila haya yanatokea baada ya kutenganaBabu na Bibi kupitia African DNA watagundua uhalali wa mtoto kwenye kizazi chao.
Yani wote waliotoa maoni ni kama hawajaelewa kinacho hitajika siku hizi jamii forum ya great thinkers imeisha kabisa.Habarini za jioni wapendwa
Natumaini mu waziwa wa afya naomba kwa mwenye uelewa wa mambo haya aweke mchango wake hapa ili kusaidia jamii iko hivi jamaa alioa mwanamke akalipa mahali lakini hawakufunga ndoa ya kupewa cheti sasa wakapata mtoto mmoja baada ya mtoto kufika miaka miwili ao wazazi wakaachana na chanzo ni kwamba binti hataki mtoto aende upande wa Baba yake kwenda kusalimia wakamuone mjukuu swali ni je.? Jamaa anaweza kwenda usitawi wa jamii waruhusu yeye kumchukua mtoto na kumpeleka kwao akasalimie awajue ndugu zake ikiwa mama yeye amegoma hataki kwenda naomba kwa wenye uelewa zaidi watoe maoni yao hapa watu wajifunze kupitia kisa hiki
NB: Kwa sasa uyo binti anataka kusafiri aondoke hapo kwao aende sehemu ambayo mzazi mwenzake haijui je apo pia imekaaje.
Naomba kuwasilisha .
Alipima DNA?mama ndio anajua baba wa mtotoMtoto ni wake 100% kumbuka haya yanatokea baada ya wao kutengana ila mwanzo mambo yalikua vizuri tu na walikua wanaenda kwa wazazi wa pande zote bila shida
DNA utaishia kudanganywa tu ipo njia ilitumika kutambua hilo nanhata siku mimba inashika jamaa alijua yani hesabu zote ziko sawaAlipima DNA?mama ndio anajua baba wa mtoto
Hiyo ni kweli. Ila wengi wapo mikoani.Sio kila Babu na Bibi ni wa kijijini wengine wapo mjini
Kwani mikoani hakuna majijiHiyo ni kweli. Ila wengi wapo mikoani.