Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
mwambie atulia kama mjinga flani alafu atafute pesa kwa nguvu zote
huo ni mtego
huo ni mtego
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu havitaji kugombana sanaa.. Yani uanze kugombania mtoto kwenda kwa Babu yake????? Kuweni serious bhana.. huyo jamaa amuache tu huyo mwanamke ajizungushe weee akichoka mbona atasema mwenyewe pengine hata mtoto atataka aishi na baba yake ambae ni jamaaa.Huyo jamaa ni yeye ndio aliyemtolea huyo binti mahari au huyo binti ndio alimtolea jamaa mahari?? Haingii akilini eti mwanamke hataki mtoto akasalimie bibi na babu yake, hapo inabidi ubabe/udikteta utumike, ukileta demokrasia kwenye hali hiyo hautofanikiwa
Uhalisia upo kwa mkemia mkuu na moyoni mwa mwanamkeAyo ni maneno yako mkuu ila uhalisia haupo ivyo.
Tatizo inaonekana hujiamini mkuuUhalisia upo kwa mkemia mkuu na moyoni mwa mwanamke
Shauri yako mm nna wawili mabwege kama wewe mnalipa adaTatizo inaonekana hujiamini mkuu
Shauri yako mm nna wawili mabwege kama wewe mnalipa ada
Jidsnganye sio swala niko proud of ila wanawske wanazaa na wanayempenda na hutajua .usilete kunihukumu mm ww pima huyo mwanamke tabia aloonesha nauzoefu nayoHa ha ha pole sana sema labda wewe ndio unalipia wa wenzako kwasababu hauna self confidence hivyo inaonyesha wazi kabisa huna mtoto ambae ni wako 😂😂 kimtokacho mtu ndio kinaujaza moyo
Shauri yako mm nna wawili mabwege kama wewe mnalipa ada
Jifunze kujiamini kuanzia leo itakusaidia maishani mwako.Jidsnganye sio swala niko proud of ila wanawske wanazaa na wanayempenda na hutajua .usilete kunihukumu mm ww pima huyo mwanamke tabia aloonesha nauzoefu nayo