Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Nikwambie kitu mkuu?Bàada ya kusoma maelezo yako nikushauri tafuta pesa kwanza halafu utafute mwanamke mwingine
ukwl namuwaza mtoto nakosa jibu sipend nitengane kwa ajil ya mtoto but inaumiza sana realityWe jamaa humhurumii Yule mtoto Hawa wanaotelekeza vizazi vyao ndo wanao tuletea tabu na shida mitaani .AKALEEE MTOTO WAKE
ukwl namuwaza mtoto nakosa jibu sipend nitengane kwa ajil ya mtoto but inaumiza sana realityWe jamaa humhurumii Yule mtoto Hawa wanaotelekeza vizazi vyao ndo wanao tuletea tabu na shida mitaani .AKALEEE MTOTO WAKE
Umbali ni sumu ya Mapenzi, kama unampenda amua moja, wewe kuwa karibu naye Tabora au muamishe akufuaye ulipo
nashukuru ndugu kwa ushauri wako boraNikwambie kitu mkuu?
Sijui utakuwa na umri gani!
Mtu akikuomba ushauri uhusuo mahusiano, jikite kuongelea ama kushauri juu ya mada ile ile na namna ya kurekebisha dosari katika mahusiano hayo pekee.
Hayo mengine sijui ya kutafuta pesa na kujijenga ni mada tofauti na iliyoletwa jukwaani.
Halafu, watu wengi hupenda aridhi ipasuke iwameze ama kutamani kuficha sura zao kwa aibu itokanayo na ushauri mbovu wautoao wa kuvunja mahusiano ya wengine na baadaye kupuuzwa na mahusiano hayo kuendelezwa kibabe na wahusika!
Mkuu sielewi wapi nimetoka nje ya mada, mtoa mada kasema yupo musoma anajitolea hajaajiriwa sasa unazani kwanini kaandika hayo? Pili kwanini unaangalia alipoangukia na si alipojikwaa?Nikwambie kitu mkuu?
Sijui utakuwa na umri gani!
Mtu akikuomba ushauri uhusuo mahusiano, jikite kuongelea ama kushauri juu ya mada ile ile na namna ya kurekebisha dosari katika mahusiano hayo pekee.
Hayo mengine sijui ya kutafuta pesa na kujijenga ni mada tofauti na iliyoletwa jukwaani.
Halafu, watu wengi hupenda aridhi ipasuke iwameze ama kutamani kuficha sura zao kwa aibu itokanayo na ushauri mbovu wautoao wa kuvunja mahusiano ya wengine na baadaye kupuuzwa na mahusiano hayo kuendelezwa kibabe na wahusika!
Njoo pm nieleze tatizo lenu Kisha nitakushauri.ukwl namuwaza mtoto nakosa jibu sipend nitengane kwa ajil ya mtoto but inaumiza sana reality
Kila siku ni visa vya mapenzi. Narudia, hakuna mshauri wa mapenzi ya wawili zaidi ya wao wenyewe kuamua la kufanya.Habarini ndugu zangu polen na majukumu ya kila siku, nimekuja mbele yenu kama kijana mwenye shida ya kiushauri na mawazo ili nipanue akili na niwe na uwezo mkubwa wa kuchukus maamuzi sahihi kutokana na mawazo yenu na mawazo yangu kwa pamoja.
Mimi ni kijana na nipo kakika mahusiano ya na mwanamke kwa muda mrefu ambaye tumefanikiwa kuwa na mtoto mmoja ila katika mahusiano yetu hayo tumetenganishwa na umbali kias wa kila mmoja yupo katika mkoa tofaut na mwenzake mimi nipo musoma yeye yupo tabora kutokana na majukumu ya kutafuta riziki za kila siku kwa faida yetu sote.
Mzazi mwenzangu huyo ni mwalimu wa nursery school na anafundisha katika shule fulan iliyopo Tabora nimekuwa nikimuamini kwa muda na hasa baada ya kuzaa mwaka juiz niliamini kuwa sasa malengo na mawazo yetu yapo sawia katika kuendeleza familia na kwa malezi bora ya mtoto lakini cha kushangaza hivi karibun nilienda kumtembelea Tabora na nilimtaarifu kuwa nakuja na ninafikia kwake ila nitakaa siku mbili mpaka tatu alafu narudi kazini kwangu ambapo najitolea bado sijaajiriwa.
Ukweli nilipofika Tabora nilifikia kwake na nikalala siku ya kwanza lakiin ilipofika siku ya pili nimetoka zangu mizunguko jioni nikawa nimeketi naye mpaka mida ya sa mbili kasoro lilitokea tukio la kustaakabisha kiasi, kumbe mwenzangu anamwamaume mwingine ambaye anakujaga kulala mpaka pale na siku hiyo muda wa uck alimwambia anakuja kulala pale, mwenzangu akashindwa kuniambia ikabid akamwambie mama mwenye nyumba wake aje aniambie kuwa huyu mwezako ana mtu wake amemwambia anakuja japo kuwa anasema awali alimwambia kuwa mimi nina mtoto na nina mwanaume wangu lakini yulu mwanaume alikubali hivyo hivyo.
Cha ajabu siku hiyo alipoambiwa mimi nimekuja alisema anakuja hivyo hivyo na ataleta fujo ikanibidi mwenyebnyumba aniombe niondoke na mzazi mwenzangu tukalale pengine asije akaja akatukuta ikaleta fujo na aibu. Pia nami nikafanya kama nlivyoambiwa na nilipofika gesti na mzazi mwenzangu nikaongea nae mambo mengi na nikamuuliza kati ya mimi na yeye unampenda nani akasema wewe hapo.
Swali linakuja kama unanipenda mim unawezaje kumleta mwanaume mwenzangu unapolala kama hauna malengo nae akasema nisamehe tu huku akilia.
Ndugu zangu nimekuja mbele yenu ila muweze kunisaidia ushauri kutokana na uzoefu wenu katika mambo ya mahusiano.
kweli ila mtoto jeTutafute hela jamani. Hawa viumbe wapo tu.
Huko Musoma we hauna dem?ukwl namuwaza mtoto nakosa jibu sipend nitengane kwa ajil ya mtoto but inaumiza sana reality
Ulitaka aiweke jukwaa la Siasa?Sijasoma maelezo yako ila nikwambie umekosea jukwaa