Nakazia "PIGA CHINI"Maneno mawili tu.
PIGA CHINI
Mwanaume halisi na mwenye maamuzi kamwe hawezi kuvumilia usaliti.Mwanamke awe mchawi,mchoyo au tabia zingine mbaya lakini si kugawa uchi.Tena hapo bado hajaolewa! Shukuru sana,Je ungekuwa umemuoa? Piga chini! Hakuna cha pesa mwanamke anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu hawezi vua chupi kisa pesa.Tafuta mwanamke mwingine wife material umlee mwanao.
Kwanini atoe pesa ya matumizi? Kwanini hujamshauri amchukue mtoto wake?Mmmh pole yako, muhimu tafuta pesa then toa pesa ya matumizi kwa mtoto, ukishindwa hapo hutokuwa mwanaume tena
Na unaweza kukuta huko gesti aliyelipia ni mwanamke... wonders shall never endNo! Aliambiwa atoke waende kulala guest yeye na mzazi mwenzie nyumbani pasibaki mtu ili jamaa akija akose wa kumfanyia fujo
Muhurumie mchizi!Na unaweza kukuta huko gesti aliyelipia ni mwanamke... wonders shall never end
Ungekuwa umemuoa tungeweza kushauri, muwe munawaonea hawa wanawake huruma, ukikaa bila kuonyesha msimamo na yeye atakuwa anaangalia angalia pembeni!
Kama umezaa na mwanamke, unampenda, na anakupenda, then Kama kuna Makosa ya kawaida ya kiufundi unaweza msamehe mkaoana.
Mwanamke kuliwa kabla hajawa na ndo ni kawaida kabisa, mwanamke gani aliwi? Wote wanaliwa tu, Kama unabisha nitajia mwanamke yeyote unayemwamini, hata mke wa mtu, Nipe mawasiliano yake, mwishowe nitamla tu!
Wanawake wote I can say , wanaliwa tu, dunia kwisha Habari yake, cha maana ni kupambana tu na kulea watoto na kuwa watu wazima, utamkimbia huyo na mtoto utakutana na asiye na mtoto wako, naye atakuja kuliwa tu!
Huyo mwanaume anamsaidia huyo mwanamke kifedha, ndo maana hata huyo Mama mwenye nyumba anamjua na amesema atakuja na kuleta fujo, kama hauna hela na unaenda Fikia kwa mwanamke, Juan kuna mtu ana provide.
Shukuru huyo mwanamke ni mkweli, na ni mzuri, unaweza kupata mwingine ukapangwa mpaka ukashangaa! Wanawake Sio watu ndugu, Cha Maana ni kulea mtoto basi.
Mkiu imesha tutokea lakini unatazama Nani na Nini sababu halafu una vumilia TU ikiwa sababu Ni wewe KUMBUKA jamaa kamtelekeza na mtoto mdogo halafu huwenda hata mawasiliano HAYAKUWA njema.Ndugu yangu bb2 una roho nzuri sana tena ya ungwana, kwangu Mimi huo usiku ungekuwa mrefu sana, na namba zake za simu ningefuta pale pale mbele na kuondoka bila kuaga. Hili jambo ni zito sana mkuu kukushauri maana kama haijawahi kukutokea utachukulia kawaida sana, lakini binafsi na umri nilionao kipindi hiki na tabia za watu nilizoziona huyo mwanamke hakufai hata kidogo kwa sababu siyo mwaminifu na hana malengo na wewe.
Mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya mmoja siyo shida, lakini kwa mwanamke anaejitambua inatakiwa iwe siri kweli kweli kwa mtu wake, siyo kumleta mpaka ndani ya chumba unachofikia.
Duh! Umeamua kuwa muwazi zaidiiNimeona comments zenu nyote hamuji kwenye point.Kosa lako la kwanza ni kuzini nae na pili ni kuzaa mtoto wa haramu ,hata kama ni mwanao ujue si halali yako la tatu ndio hilo uloliona mbele yako ww unafikiria mapenzi tu .mwanamke yyote unaempenda sio kuzini nae au mnajaribu ni kumuoa tu ndio utakuwa na uchungu nae hapo mzee wangu hata uchungu nae huna kama ulipiga na yeye anapigwa anangalia maslahi yake tu mapenzi yashakufa kuna kitu kinaitwa PESAAAAAAA (RESPECT)
huwa na wasiliana nae mara kwa mara na huwa nawahudumia wote kwa ujumlaMkiu imesha tutokea lakini unatazama Nani na Nini sababu halafu una vumilia TU ikiwa sababu Ni wewe KUMBUKA jamaa kamtelekeza na mtoto mdogo halafu huwenda hata mawasiliano HAYAKUWA njema.
Kingine huyu mleta mada unadhani yet alikaa mwaka mzima Kama malaika? Ukishapata majibu ya maswali hayo una acha Mambo mengine yapite tu na maisha yaendelee
kwel kabisaAfadhali yangu mimi nimejitolea liwalo na liwe. Mi niko Dar, Nuzulati yuko Handeni lakini naamini hanicheat. Na hata akinicheat hanicheat kiviiiile...
Ndio maana sijawahi kumwanzishia thread....
Long distance relationships never work... trust me. Ni kujipa moyo na imani ya kujifariji tu, ila kugongewa kumo sana tu. Yani ukae miezi sita mpenzi yuko mbali afu ujiaminishe havuliwi au havui chupi??
Hebu acheni ujinga basi... Yani mtu unaishi naye na bado unagongewa sembuse mtu yuko kilometa 800 kwa miezi mitatu?
Maimaimai...
daah kwel mwanangu umenishusha mm sio mtu wa chini unavyodhaniaNa unaweza kukuta huko gesti aliyelipia ni mwanamke... wonders shall never end
sio hvy unavyodhania kwamba sina kitu nimeomba ushaur pesa sio kila kitu ktk mahusianoItakuwa hana maana hana hata mia
kwel kabisa asante kwa ushauri wako mzuri na wakujengaNdugu yangu bb2 una roho nzuri sana tena ya ungwana, kwangu Mimi huo usiku ungekuwa mrefu sana, na namba zake za simu ningefuta pale pale mbele na kuondoka bila kuaga. Hili jambo ni zito sana mkuu kukushauri maana kama haijawahi kukutokea utachukulia kawaida sana, lakini binafsi na umri nilionao kipindi hiki na tabia za watu nilizoziona huyo mwanamke hakufai hata kidogo kwa sababu siyo mwaminifu na hana malengo na wewe.
Mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya mmoja siyo shida, lakini kwa mwanamke anaejitambua inatakiwa iwe siri kweli kweli kwa mtu wake, siyo kumleta mpaka ndani ya chumba unachofikia.
kuwa na akili kuna uzito wa jambo omba halijakukuta tuHivi bado mko wapuuzi kama nyie?
Hili nalo ni la kuomba ushauri?
Wanaume tunazidi kupungua aisee.
#YNWA
nashukuru sana kwa ushauri mzurManeno mawili tu.
PIGA CHINI
Mwanaume halisi na mwenye maamuzi kamwe hawezi kuvumilia usaliti.Mwanamke awe mchawi,mchoyo au tabia zingine mbaya lakini si kugawa uchi.Tena hapo bado hajaolewa! Shukuru sana,Je ungekuwa umemuoa? Piga chini! Hakuna cha pesa mwanamke anayejielewa na mwenye hofu ya Mungu hawezi vua chupi kisa pesa.Tafuta mwanamke mwingine wife material umlee mwanao.
Inaonekana wewe mgeni na wanawake wa kisasa hasa hawa waliomaliza form4sio hvy unavyodhania kwamba sina kitu nimeomba ushaur pesa sio kila kitu ktk mahusiano
Pole kwa kukoment babe mimi sikucheat kivile hutakaa ujue 🥰Afadhali yangu mimi nimejitolea liwalo na liwe. Mi niko Dar, Nuzulati yuko Handeni lakini naamini hanicheat. Na hata akinicheat hanicheat kiviiiile...
Ndio maana sijawahi kumwanzishia thread....
Long distance relationships never work... trust me. Ni kujipa moyo na imani ya kujifariji tu, ila kugongewa kumo sana tu. Yani ukae miezi sita mpenzi yuko mbali afu ujiaminishe havuliwi au havui chupi??
Hebu acheni ujinga basi... Yani mtu unaishi naye na bado unagongewa sembuse mtu yuko kilometa 800 kwa miezi mitatu?
Maimaimai...