Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

Kwahiyo wauza chipsi na bodaboda unawaona kama ni vijana wasio na future? Masikini, waliokosa options?

Waajiriwa mna akili za namna gani ninyi watu?
Kuna degree ya kuchoma chips? Ulisoma miaka 7 ukaongeza 4 ukaongeza 2 ukaongeza tena 3/4 alafu unakuja kua mchoma Chips, wewe bichwa lako limejaa uvundo au si ungeacha kitambo uchome chips tu km uliona kuchoma chips ndio kazi unayoitaka ulienda Chuo kufanya nini?
 
Mkuu,kwa nini wafanye hizo kazi za boda boda au kuchoma chips?
-Muuza chips,mwenye kijiwe safi na kilichopo mazingira mazuri anaingiza sh ngapi?

-Muajiliwa,tuseme wa laki 5 kwa mwezi,na muuza chips anayelaza elfu 15 kwa siku,yupi bora?
Siku zote hizi kazi mnazoziona hazina maana,zimewaweka wengi mjini.

Unashauri waziache wakae makwao?
 
Ama kweli this argument is null.
 
Hamjamuelewa mtoa mada nyie.
 
Itakuwa wanawapeleka kusomea ujinga.

Ingieni madrassa mtie akili.
 
Maisha ni neno pana Sana swala la kusoma ni Jambo lingine na kufanikiwa katka maisha ni Jambo jingine .........bado maisha ya walio wengi wetu si madhuri tupambne tu MUNGU atafanya wepesi
 
Dah!
 
Ama kweli bongo nyoso, kwahiyo ulisoma kupata maarifa kutatua changamoto huko ulipo au ulisoma ili ukale kiyoyozi maghorofa ya posta??

Sio kila degree ni kwa ajili ya kuajiriwa kijana, au umetoka chuo mwezi wa 7 mwaka huu??

Kuna watu wengi washachoma vyeti, hawana time na kuajiriwa tena, wamejiajiri na wanapiga pesa kuliko hata hao waajiriwa.

Na kama akili za wasomi wetu ndo hizi zinategemea kuajiriwa tu tutafika kwelii??
 
Hahahahhahah.... hunidanganyi. Nazijua hizo nchi vizuri sana.
Tena Tz inaafadhali kushinda nchi nyingi duniani kwa kuwa hatujakumbatia sana ubepari usio na mipaka.

Unajua hali ilivyo Europe na North America? Do you know why they feel trapped? Do you know why they're almost suffocating? Kwanini wanalalamika the rich get richer and the poor get poorer?

Nchi pekee iliyosalimika na hili janga la neo-liberalism ni China kwa sababu wanaviwanda. Na wasipokuwa makini litawapata.

Hizo sera mbovu unazodai za third world countries ziliwekwa na nani? Sio USA na goons wake? Are you one of those goons?
 
Tupunguze kuzaa ovyo ovyo umetaka watoto wengi kuliko uwezo wako kulea. Kwa ulicho andika hapa ulitakiwa uwe na watoto maximum wawili. Ukiwa na watoto wachache na ukawa nao karibu, ni asilimia ndogo sana watafeli maisha hapo baadae.
 
Wewe na wewe akili zako hazina akili, ulisoma Chuo uwe mchoma Chips si ungeacha kitambo uchome chips ukishindwa nini?
Mkuu,

Pengine mchoma chipsi msomi anaweza kuchoma chipsi kwa mafuta ya good cholesterol na environmentally friendly energy tukapata chipsi za kisomi ambazo ni bora kwa afya na mazingira.

Au?
 
Kuna watu wengi washachoma vyeti, hawana time na kuajiriwa tena, wamejiajiri na wanapiga pesa kuliko hata hao waajiriwa.

Na kama akili za wasomi wetu ndo hizi zinategemea kuajiriwa tu tutafika kwelii??
Akili matope km ingekua rahisi hivyo si wote wangekua hawahangaiki kwenye 10 ni 1 hivi unaona hilo gap na hio 1 nyuma kuna nguvu ya mtu fulani inampa support bila hivyo hafiki popote unanielewa sijui au bado mpaka upigwe kidole ndio uelewe?
 
Mkuu,

Pengine mchoma chipsi msomi anaweza kuchoma chipsi kwa mafuta ya good cholesterol na environmentally friendly energy tukapata chipsi za kisomi ambazo ni bora kwa afya na mazingira.

Au?
Kwa hio unataka kusemaje? Wasomi wote wawe wachoma Chips?
 
Rudi shule ndg bado elimu yako haijakukomboa na haina faida kwa jamii yako! Kama wote mtaajiriwa je ni nani atakae mhudumia mwenzie,
Elimu uliyoipata shule inatakiwa ikusaidie kutatua changamoto za jamii yako ikiwa ni pamoja na suala la kutengeneza ajira kwa wengine na siyo kutegemea kuajiriwa na serekali,
 
Umenena vyema ndg, tatizo la hawa vijana wa sasa wanataka waonekane wako smart huku mfukoni hawana kitu zaidi ya kutegemea mwisho wa mwezi, huo ni ujinga yaani mtu anajiita msomi lakini anashindwa kuitumia elimu yake kutatua matatizo yanayomkabili,
Ukiwa hujawahi lala njaa hakika huwezi fahamu maumivu anayopata yule anaelala njaa!
 
Usiandike just kuandika jamas HR applied kwenye reputable institution tu inayoweza kuwa na demand na supply ya human resources ufungue banda la chips uajiri mchoma chips na mmenya viazi then useme HR applied
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…