Mzazi wangu amekogoma kupokea posa ya mwanaume wa kiislamu

Tunakushukuru Sana mzee majini yatamuandama
 
 
Tunakushukuru Sana mzee majini yatamuandama
Ila bro kam sister yupo willing kuolew na huyo mtu si vzr san kugomea kabis anawez akaamua kuwakomoa kwa kubeba mimba azalie nyumbn au mtamfukuza Je akiamua atoke nyumbn akaishi nae bila matakwa yenu je mtaenda kushtak kuwa kapotea au mtamsusa
 
Ila bro kam sister yupo willing kuolew na huyo mtu si vzr san kugomea kabis anawez akaamua kuwakomoa kwa kubeba mimba azalie nyumbn au mtamfukuza Je akiamua atoke nyumbn akaishi nae bila matakwa yenu je mtaenda kushtak kuwa kapotea au mtamsusa
Swla la kubebeshwaw mimba Kisha akimbiwe tumekubali ni mtu anaye jitegeeme hatuzani kama ataomba msaadaa kwetu cc ova
 
Chunguzeni vizuri anaweza kua mke wa pili huyo akaja kugundua badae keshafunga NDOA na asipokua mke wa pili basi mbeleni akishachuja ataletewa kigori mdogo amsaidie majukumu na ataitwa mke mkubwa😁

Hao jamaa ni watu wa tamaa Sana
 
Mwambieni atoroke akaolewe.Halafu mumpe miaka miwili tu.Sipendi mtu asiyesikia maonyo.
 
Anatakiwa akubali posa hiyo tena na yeye mwenyewe anatakiwa asilimu.
 
Watu wasio amini? Lakini waisalamu wanaamini mbona
 
Ila mkuu me naona mngempa tuu huyo jamaa huyo binti yenu huenda ndg yako anakataa pema pabaya panamuita
 
Chunguzeni vizuri anaweza kua mke wa pili huyo akaja kugundua badae keshafunga NDOA na asipokua mke wa pili basi mbeleni akishachuja ataletewa kigori mdogo amsaidie majukumu na ataitwa mke mkubwa😁

Hao jamaa ni watu wa tamaa Sana
Tamaa unayojua wewe ni mtu kuowa mke mwingine tu.
Vipi Wakristo wenye michepuko nje?
 
Karibia wote tumezaliwa kwenye utumwa wa dini za kigeni.. zimekuwa kama zetu vile ila ukweli ni kwamba sisi ni watumwa tu wa dini na tamaduni za wazungu na waarabu na kujitoa huko yahitaji utimamu wa akili.

Ona hawa vijana waafrika wawili wamependana lakini wanazuiliwa kuoana kwa kuwa watumwa waliowalea wanaogopa kukasirisha miungu ya mabwana zao; Yesu na Muddy.
Waafrika tuache ujinga, tuamke. Hao vijana washauriwe waoane tu kwa tamaduni za kwetu.
'fucx your religions.
 
Mzee atakubali tu ngoja tufanye kisomo hapa next week atatuita mwenyewe
 
Yupo sahihi kutoka dini inayokataa majini na kuyaita mashetani uende dini inayo wapeti peti majini, kuishi nayo ,kuswali nayo na kuyatumia?
 
Huyo katupiwa majini, akili aliyonayo si yake ni majini na mapepo toka kwa ABDULI. Mwombeeni na mumpeleke kwenye maombi ili mapepo ya ABDUL yaondoke. Vinginevyo mtampoteza, mi nakwambia.
 
huyo binti ni mjinga sana, na atajuta maisha yake yooote. hakuna mwanamke aliwahi kubadili dini kuwa muislam asijutie baadaye, na huwa wanaishia kuwa makopo kichwani utafikiri akifika kule huwa anapakua ubongo wote halafu wanaweka hewa. nina ndugu zangu kadhaa walishawahi kubadili dini, wakazaa watoto na yakawashinda wakarudi na hawajawahi kutengamaa, wawili walikufa masingle mother, mmoja ndio anaishi kama ana laana tu. naona sijui walimsomea kisomo au walimpulizia harufu mbaya sijui.
 
Dah huyo mnampoteza mkiona, anakwenda Jehanum ya duniani na ahera.
Kuna vitu huwa naogopa sana ikitokea nimeskia ndugu amejiunga aidha uislamu, Freemason au ushoga yaani itaniuma sana..... brazaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…