nergomafioso
Senior Member
- Apr 3, 2024
- 109
- 284
Ungesafiri private au ungeshuka utembee kwa mguu na raba zako za bei mbaya kiazi ww😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhm usafi ni muhimu mkuu.Kunuka ndiyo uanaume Sasa.
Kunukia waachiwe wanawake.
Hili tulishalijadili kikaoni.
Nimecheka sana ndiyo maana mm hua natoa hela kwa wale jamaa wa ticket ili wanipange na pisi ili kuepuka hizo changamoto.Ulimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
Afadhali umegundua na wewe kwa kifupi mataqor ya mtoa uzi yana kazi mbiliMwanaume halafu unasema "NILIJUTRAAA"?????? Kazi ipoo
Dah ! ,Ila generation z wa Tanzania ninyi ni Kenge sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
Eti Alijutraaa! Hamna masega hapoSema kwa uandishi huu tu tumejua kuwa mleta mada masega hamna
Dah ! ,Ila generation z wa Tanzania ninyi ni Kenge sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
"Juzi nilisafiri nilivaa pamba kali, raba za kichina miwani ya machinga".... hapa wenye D mbili tushaelewa masega yameshatolewa.Ulimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
Hongera yako wewe mwenye MASEGA MATRAMUEti Alijutraaa! Hamna masega hapo
Piga mswaki ulioshe domo hilo unaboa banaWw ni mtoto wa kiume kweli!!??
Au ni hawa watoto wa wenyewe
We mwenyew mgoroko vile vile futaUlimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
Ndo niniWe mwenyew mgoroko vile vile futa
Nimehisi hivyo! Kama mchele flani watu wanatwanga..Ww ni mtoto wa kiume kweli!!??
Au ni hawa watoto wa wenyewe
Bado unaendelea kusema MATRAMU...we kweli hamna masega,pole kijanaHongera yako wewe mwenye MASEGA MATRAMU
Binafsi nisingeweza kumzalilisha huyo mzee kwa kumuanzishia thread kama hii kwenye jukwaa linalosomwa na watu wenye hekima zao ili wajue upumbavu wangu. Hizi ni akili za kijana asiyejitambua, asiyejua mazingira halisi ya watanzania mbalimbali especially kutoka huko bush interiors ambapo wazee wetu hawajui kama kuna kanuni za kiafya za kusafisha vinywa mara kwa mara baada ya kuingiza chochote mdomoni. Msukuma uliyeelimika... usiwadharau wazee wakoUlimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
Mtu nikiona ananyka mdomo ata kama ni smart vp huwa namshusha vyeo
hiyo ni hatariUlimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree