BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
- Thread starter
- #41
Hongera Kaka kwa Kumiliki MASEGA MATRAMUBado unaendelea kusema MATRAMU...we kweli hamna masega,pole kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Kaka kwa Kumiliki MASEGA MATRAMUBado unaendelea kusema MATRAMU...we kweli hamna masega,pole kijana
Ungempa jojo atafune ,🤣Mtu nikiona ananyka mdomo ata kama ni smart vp huwa namshusha vyeo
Leo kaja mdada hapa sijui hakupiga mswali daah nimemfurumusha hvyo hovyo
Wewe mpaka waku blockUngempa jojo atafune ,🤣
Kwani kuwa mzee na kunuka mdmo kuna uhusiano sis ahahaWewe pia siku utakua mzee, wajukuu zako watasema unanuka vyote tu🏃♀️
Mwanaume unakereka mzee kunuka mdomo huku unaandika nilijutraaaa.Ulimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
Kwa jamii ya watanzania hukosi ndugu wa aina hiyo kijijini hata mjini pia.Ulimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
Naimagine uzee unakua huna nguvu hata ya kuzingatia mswaki bana, si unajua uzee ni kama unarudi utotoniKwani kuwa mzee na kunuka mdmo kuna uhusiano sis ahaha
ole wako siku nikukute unanuka mdomo akiiii ntakucharaza mnoWewe mpaka waku block
Domo la Bata linanukaUlimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
We muongo makete gari yenye AC hamna kule baridi Sana mzee Acha uongoUlimhola!
Juzi nimepanda basi la kwenda makete, nimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Safari ikaanza vizuri, AC inapuliza taratibuu huku mwendo wa basi ukiwa mwanana kabisa.
Pembeni yangu aliketi babu mmoja ana miaka kama 60 hivi kwa kumtazama, amevaa likoti chafu la kijivu huku amefungasha limfuko la rambo na kulipakata.
Sinaga mazoea ya kuongeleshana na abiria mwenzangu, kwahiyo nikawa nimeuchuna tu nasikiliza ngoma za CHRIS BROWN.
Baadaye yule mzee akaanza kuniongelesha, nikawa najaribu kumpuuzia lakini akawa analazimisha huku ananiuliza vimaswali visivyoeleweka.
Mwanzoni nilihisi kaharufu cha ajabu kila anapoongea, lakini nikajikaza nikadhamiria kumkaushia kabisa mpaka mwisho wa safari.
Baadaye akazidisha sasa kuniongelesha, ikabidi nivue earphones zote nikawa namuitikia tuu, DAAAAAH, mzee ananuka mdomo kama PANYA BUKU!!
Nikawa namkwepa huku najaribu kukatiza maongezi lakini ndio kama anazidisha sasa huku ananipumulia mdomoni kwa kasi..... nilihisi tumbo linavuruga, nikawa natamani kwenda chooni, masikio yakazibaaa kabisaa macho yakawa mekundu NDUuuuuuuH!
Nikamkata jicho la kijeshii, akanyamaza.... nikaona anafungua fuko lake akatoa machips akaanza kubugia... nilihisi kinyaaa....
Tukaenda mbele kidogo akaanza kupiga miayo hovyo huku hafungi domo, harufu kali inatoka domo kubwaaaaa mwaaaaahhh nikatamani kuhama siti... kila baada ya dakika tano anapiga miayo halafu hafungi domo... NILIJUTRAAAAAA
Nikaona anatoa jiti la kiberiti anachokonoa meno halafu ananusa..... kuna watu wana laana aiseee...
AIONE KWENYE JALADA: Nyani Ngabu Lloyd Munroe SECRETARY BIRD Poor Brain Mbaga Jr Lamomy min -me raraa reree
🤣🤣🤣🤣🤣 GARMAAADomo la Bata linanuka
Hizi pigo, utakuja kuitwa .........burenimepiga zangu pamba kali, chini nimevaa raba za bei mbaya, miwani na earphones.
Madam uzee wa kuridi utoto sio wa kiivo..Naimagine uzee unakua huna nguvu hata ya kuzingatia mswaki bana, si unajua uzee ni kama unarudi utotoni
Mii nikiamka siongei na mtu mpaka nipige mswaki kwanza..ole wako siku nikukute unanuka mdomo akiiii ntakucharaza mno
komando mzima unaacha mask(barokoa na unatembea safari ndefu)Wazee wa Makoti....View attachment 3178021
😂😂Binafsi nisingeweza kumzalilisha huyo mzee kwa kumuanzishia thread kama hii kwenye jukwaa linalosomwa na watu wenye hekima zao ili wajue upumbavu wangu. Hizi ni akili za kijana asiyejitambua, asiyejua mazingira halisi ya watanzania mbalimbali especially kutoka huko bush interiors ambapo wazee wetu hawajui kama kuna kanuni za kiafya za kusafisha vinywa mara kwa mara baada ya kuingiza chochote mdomoni. Msukuma uliyeelimika... usiwadharau wazee wako
"Molemola sana"
Kwahiyo uliotutag hapo ndio tunanuka midomo jf nzima sio ?