Mzee ananuka mdomo: Kero usafiri wa umma

Mwanaume unakereka mzee kunuka mdomo huku unaandika nilijutraaaa.

Kumbe we ndio yule ukiyekuwa unanuka tako mbona si tulikuvumilia?

Pumbavu.
 
Kwa jamii ya watanzania hukosi ndugu wa aina hiyo kijijini hata mjini pia.
Jifunze namna nzuri ya kuishi na watu ukitambua kuwa watu wanatofautiana sana, nilitegemea kwa ubotherman wako huo umsaidie mzee ht maji ya kunywa jojo/ bubble gum mfano PK sio kumsimanga hapa!!
 
Hakukua na haja ya kufungua thread kwenye Hilo Jambo lakini pia jifunze kutembea na JoJo za kutosha mkikaa na mtu ukiona huelewi elewi unamzawidia kwamba ndugu tafuna tuendelee na safari acha utoto
 
Domo la Bata linanuka
 
We muongo makete gari yenye AC hamna kule baridi Sana mzee Acha uongo
 
Yaan tumekukuza vizuri kabisa makete ndani ndani huko, tunakulisha mabumunda ya kikinga sahv umeenda Dasalama unarudi na earphones unasema tunanuka. Tulia kwenye japanese we Chogo sanga
 
Naimagine uzee unakua huna nguvu hata ya kuzingatia mswaki bana, si unajua uzee ni kama unarudi utotoni
Madam uzee wa kuridi utoto sio wa kiivo..
Maana huyo wa kupanda hadi kwa gari kabisa...

Sema daah *"""mdomo koma"""
Nisiseme mengi no one nows tomorrow
 
😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…