Mzee Butiku: Watanzania hawajaridhika na uwekezaji wa bandari, serikali isione aibu kuachana nao

Mzee Butiku: Watanzania hawajaridhika na uwekezaji wa bandari, serikali isione aibu kuachana nao

Sijui ugumu Uko wapi kuachana na hili dude DP ila nahisi kuna maslahi ya wachache na ndio wanaolazimisha hili dude lipewe bandari.

Na inatumika nguvu kubwa kulazimisha hii ajenda.

Mimi naamini figisu za mikataba ya huko nyuma kutokufaidika direct kwa wananchi ndo maana mjadala umegoma kufika mwisho.

Basi tu Serikali na Chama wamezoea kuziba masikio.

Lakini iko siku watanzania uoga wa kuwawajibisha viongozi utawaisha tujipe muda tu!
 
Samia, polisisiyemu, yuvisisiyemu hii inshu ya bandari wanajua ukweli kua imekua na impact negative kwa jamii, ni vile wameshakula cha mwarabu na hawajui wafanye ninj. Ni kuruhusu tu liende.

Hakuna anayemkataa dp world ila mkataba wa dp world na Tanzania ndio tunaopinga
 
Jana CCM tulishahitimisha kuwa uwekezaji ni kwaajili ya maendeleo ya taifa.

Bunge tulishapitisha azimio hilo la IGA kuwa lina tija.

Mzee hawezi kutusumbua huyu.

Taifa la wendawazimu.

Shenzistan.
 
 
Sijui ugumu Uko wapi kuachana na hili dude DP
Akina Musukuma na wenzake wamehongwa bilioni moja moja. Achilia mbali akina Samia. Kwahiyo mwarabu kunyimwa hili dili inakuwa ngumu Sana.
 
Longa Mzee longa, mwee nyie ndio Wandewa wa kuiokoa Tanganyika inayorudishwa utumwani mikononi mwa waarabu,tuanze tena kufungwa minyororo,tupelekwe bagamoyo,tusafirishwe Zanzibar halafu tuuzwe utumwani,mwee hatukubali.
 
Jana CCM tulishahitimisha kuwa uwekezaji ni kwaajili ya maendeleo ya taifa.

Bunge tulishapitisha azimio hilo la IGA kuwa lina tija.

Mzee hawezi kutusumbua huyu.

Taifa la wendawazimu.

Shenzistan
CCM ni chama cha siasa, lakini sijaona kwenye katiba au sheria za nchi ni wamiliki wa rasilimali za nchi. rasilimali za nchi ni mali ya wanachi wote, ambao kwa mujibu wa tafiti zenu wenyewe waliowengi watz si wanasiasa. hivyo ni vizuri kuheshimu rasilimali za nchi kwa ajili ya watu wote. Uzalendo ni kupenda raia hasa wasio katika mfumo wa vyama vya siasa.

kutumia CCM kama "bench mark" kugawa rasilimali za taifa ni usaliti wa taifa, na dhambi hii ya USALITI KWA TAIFA, CCM itawagharimu maisha yenu yote, mmejenga chuki sana kati ya taifa, mmeligawa taifa kwa makusudi kwa tamaa ya pesa kilichojificha kwenye kivuli cha uwekezaji.

terms na condition ni ule ule aliouesema Magufuri kuwa ni "Kichaa tu ndio anaweza kuukubali" na kweli umekubaliwa kwa terms zile zile
Jana CCM tulishahitimisha kuwa uwekezaji ni kwaajili ya maendeleo ya taifa.

Bunge tulishapitisha azimio hilo la IGA kuwa lina tija.

Mzee hawezi kutusumbua huyu.

Taifa la wendawazimu.

Shenzistan.
CCM ni chama cha siasa, lakini sijaona kwenye katiba au sheria za nchi ni wamiliki wa rasilimali za nchi. rasilimali za nchi ni mali ya wanachi wote, ambao kwa mujibu wa tafiti zenu wenyewe waliowengi watz si wanasiasa. hivyo ni vizuri kuheshimu rasilimali za nchi kwa ajili ya watu wote. Uzalendo ni kupenda rasilimali za nchi zitumike kwa faida ya raia wote kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi.

kutumia CCM kama "bench mark" kugawa rasilimali za taifa ni usaliti wa taifa, na dhambi hii ya USALITI KWA TAIFA, CCM itawagharimu maisha yenu yote, iwe kesho au leo hata mtondogo, kiufupi kwa muda mfupi huu mmejenga chuki sana kati ya taifa, mmeligawa taifa kwa makusudi kwa tamaa ya pesa kilichojificha kwenye kivuli cha uwekezaji.

terms na condition ni copy and paste ya ule mkataba ambao Magufuri aliwaeleza tanz kuwa ni "Kichaa tu ndio anaweza kuukubali" na kweli umekubaliwa kwa terms zile zile alizozikataa mtangulizi wake.
 
Jana CCM tulishahitimisha kuwa uwekezaji ni kwaajili ya maendeleo ya taifa.

Bunge tulishapitisha azimio hilo la IGA kuwa lina tija...
Sikiliza vizuri aliyoyasema Mzee Joseph Butiku. Wahenga walisema asiyesikia la mkuu atavunjika mguu! Hiyo CCM na hilo Bunge, mamlaka yao wamepewa na wananchi, mamlaka hayo wananchi wana uwezo, kwa mjibu katiba, wa kuwanyang'anya na kuwapa watu au chama kingine.

Hilo Mzee Butiku amewakumbusha wakae wakilijua. Mwaka 2025 hauko mbali kwa wananchi kutoa maamuzi kama hawataachana na huu mkataba wa IGA za bandari zetu zote na DP World.

Pia waachane kabisa na ule musuada uliopelekwa bungeni wa kuondoa bandari zetu kwenye sheria ya rasilimali za taifa inayowazuia DP World kufanya mambo yao.
 
Spinning doctors wapo kazini, mzee anasema mengine mleta mada hayasemi anayosema huyo mzee.

Hata muuliza maswali anajaribu kumtowa njani mzee lakini kapangua vizuri sana. Kidiplomadia na hekima.


Watu wangoje HGA. Simple.
 
Amesema watanzania wasichokozwe kwenye mali zao wasikilizwe na wasibezwe mambo wanayoyahoji kabla jua halijazama


Usiku mwema wakuu naona swala la Dp world likileta anguko kubwa kwa serikali ! maana ccm imeona wao ndio wenye akili kuliko wananchi wenyewe wanaoshauri mkataba wa bandari urekebishwe, wengi wamejiuliza ni elimu gani wananchi wanatakiwa kuipata kuhusu mkataba huo?
Ccm ina dharau sana. Hizi kelele zote wao wakajikusanya kwenye ile kitchen party ya Jackson wakapitisha tu.
 
K
Spinning doctors wapo kazini, mzee anasema mengine mleta mada hayasemi anayosema huyo mzee.

Hata muuliza maswali anajaribu kumtowa njani mzee lakini kapangua vizuri sana. Kidiplomadia na hekima.


Watu wangoje HGA. Simple.
Kibarua ulicholipwa soon kitabuma
 
Back
Top Bottom