Mzee Butiku: Watanzania hawajaridhika na uwekezaji wa bandari, serikali isione aibu kuachana nao

Mzee Butiku: Watanzania hawajaridhika na uwekezaji wa bandari, serikali isione aibu kuachana nao

Kuiondoa Serikali ya CCM ni ngumu hata kama kukiwa na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, maana wanashikilia majeshi.

Njia pekee ni coup d'etat itakayofanywa na wanajeshi wenyewe.
Kwa jeshi lipi? La hawa waseminari akina mabeyo, yule Agp mstaafu? Wewe unaota ndoto za mchana.
 

Mzee Butiku anasema kwa namna kelele zilivyo nyingi kuhusu suala la bandari serikali Ina namna mbili tu..
1. Kiheshimu hofu na maoni ya wananchi kwamba hawajaridhika na suala hili, au
2. Kuwapuuza wananchi na kuendeleza na suala hili.

Lakini wapime madhara ya kila uamuzi watakaoifanya.

Alipoulizwa kuhusu ushirikishwaji wa wananchi kama haukuwa wa kutosha. Mzee Butiku amesema hadhani kama ushirikishwaji ulikuwepo, na kama uliikuwepo basi ulifanywa ktk namna ambayo haikuwa bora, kwani hata yye ni mwananchi lkn hajauona huo ushirikishwaji.

Ameulizwa endapo hoja za serikali kutetea suala la DP je, zinajibu hoja za wananchi? Mzee Butiku amejibu kuwa hazijubu ndiyo maana mjadala haukomi.

Ameonya wale wanaowatisha wanaotoa maoni kinzani na kusema tabia hii inajenga hofu na kujenga taifa la woga.

Anaongeza kwa kusema kuendelea na suala hili ni kuhatarisha umoja na muungano wetu.
---

Mzee Butiku: Rais ameruhusu tuzungumze, Watanzania bado waoga
"Nianze kwa kutoa shukrani kumshukuru na kumpongeza Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mabo mawili kwanza kuruhusu Watanzania kuzungumza...tulikuwa na woga...lakini tangua Rais aingie ametuambia tuzungumze, waziwazi...ukweli

"Kwa maoni yangu Watanzania bado wanao uwoga...wana wasiwasi...hawana hakika kama maamuzi haya yaliyofanywa na serikali ni kwa faida ya nchi yao, hiyo sauti unaisikia wakati wote kwa ngazi zote"

Source: ITV Kipindi cha dk 45.
Mtakapomaliza wa kuwahoji sijui nini kitafuata.
Mana mnaowahoji hao wote hawahusiki na hiyo bandari.
Wenye bandari yao ni waswahili wa Pwani. Sasa nyie mnaenda kuwahoji wa kuja
 
Mzee Butiku anasema kwa namna kelele zilivyo nyingi kuhusu suala la bandari serikali Ina namna mbili tu..
1. Kiheshimu hofu na maoni ya wananchi kwamba hawajaridhika na suala hili, au
2. Kuwapuuza wananchi na kuendeleza na suala hili.
Option ya 2 ndo inayoendelea
 
Ruhusa ya kuzungumza ambayo Mh Rais kaitoa hajatoa kama hisani,bali ni Haki ya Kila mwananchi kutoa maoni,tatizo Haki hiyo imechukuliwa na wajanja Kisha wanakuja kupotosha wananchi,lazima serikali isimame na msimamo wake
 
We mwanamke unaonekana una boto kubwa kuliko la mwanamke yeyote ulimwenguni. Spinning ya konyo
 
Vision aliyokuwa nayo baba wa taifa mwalimu Nyerere ni watanzania wenyewe watumie rasilimali zao kujenga nchi na uchumi wao, siyo genge la watawala wapige nchi mnada kukidhi tamaa binafsi ya maisha ya kifahari wao na vizazi vyao.​
 
Jaribu uone chizi wewe
kichaa anapomuona mtu mwenye akili kuwa 'chizi', hilo halishangazi.

Sasa hapa unasema "nijaribu"?

Mimi sitajaribu, ila wapelekee habari hao wanaokufuga na kukuwezesha kuja hapa ukumbini, kwamba wakati wenu wa kuadabishwa umewadia.
Safari hii hamponi.
 
Kwa jinsi CCM ilivyo geuka chama cha wapigaji, sidhani kama watasikia kilio hiki kutoka kwa waasisi wa TANU na hatimaye CCM mwaka 1977.
Kutosikia kwao ndiyo mauti yao.
 
Kuiondoa Serikali ya CCM ni ngumu hata kama kukiwa na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, maana wanashikilia majeshi.

Njia pekee ni coup d'etat itakayofanywa na wanajeshi wenyewe.
"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".
By Jeffs O'Brien.

[Emphasis is added]
 
Amesema watanzania wasichokozwe kwenye mali zao wasikilizwe na wasibezwe mambo wanayoyahoji kabla jua halijazama


Usiku mwema wakuu naona swala la Dp world likileta anguko kubwa kwa serikali ! maana ccm imeona wao ndio wenye akili kuliko wananchi wenyewe wanaoshauri mkataba wa bandari urekebishwe, wengi wamejiuliza ni elimu gani wananchi wanatakiwa kuipata kuhusu mkataba huo?
CCM wengi wao hawataki ni wale viongozi wachache waliopokea rushwa ndiyo wanataka huo mkataba
 
Huyu mwanamke SSH anachokitafuta atakipata! Asitufanye watanganyika wajinga. Leo nimesikia kauli ya pamoja ya kamati kuu ya CCM (NEC) kuwa mkataba wa uuzwaji wa bandari kwa DP World huko palepale bila kujali lolole!
Unadhani hata anajua kilichopo humo ndani? yeye naye anasikia tu kama sisi kuna mkabata lakini hajui hata ni nini huko ndani
 
"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".
By Jeffs O'Brien.

[Emphasis is added]
Hii ni nzuri maana inaenda kutupeleka kwenye maandamano ya bila kikomo
 
Sina hakika kivipi lakini hii mada imenifanya niikumbuke hii picha na kelele nyingine zilizowahi kutolewa kuhusu hatari ya “utawala wa waarabu na machotara wao” kurejea Zanzibar!

CCM ni ile ile.

1689082795742.jpeg
 
Amesema watanzania wasichokozwe kwenye mali zao wasikilizwe na wasibezwe mambo wanayoyahoji kabla jua halijazama


Usiku mwema wakuu naona swala la Dp world likileta anguko kubwa kwa serikali ! maana ccm imeona wao ndio wenye akili kuliko wananchi wenyewe wanaoshauri mkataba wa bandari urekebishwe, wengi wamejiuliza ni elimu gani wananchi wanatakiwa kuipata kuhusu mkataba huo?
Kwa nini chuo kikuu kilimpa saa100 PhD Kiliona ni kitu gani amefanya au kikwete ndo alishinikiza apewe
 
Hivi yule msaliti aliyeamua kuzurura nje ya nchi amesharudi, au bado anapuyanga huko nje?

Amekosa muelekeo wa kuliongoza taifa, hajielewi kabisa.
 
Hivi yule msaliti aliyeamua kuzurura nje ya nchi amesharudi, au bado anapuyanga huko nje?

Amekosa muelekeo wa kuliongoza taifa, hajielewi kabisa.
Mkataba wa BANDARI ni WAHOVYO Wajinga wanaushangilia
 
Back
Top Bottom