Kwa jeshi lipi? La hawa waseminari akina mabeyo, yule Agp mstaafu? Wewe unaota ndoto za mchana.Kuiondoa Serikali ya CCM ni ngumu hata kama kukiwa na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, maana wanashikilia majeshi.
Njia pekee ni coup d'etat itakayofanywa na wanajeshi wenyewe.
Mtakapomaliza wa kuwahoji sijui nini kitafuata.
Mzee Butiku anasema kwa namna kelele zilivyo nyingi kuhusu suala la bandari serikali Ina namna mbili tu..
1. Kiheshimu hofu na maoni ya wananchi kwamba hawajaridhika na suala hili, au
2. Kuwapuuza wananchi na kuendeleza na suala hili.
Lakini wapime madhara ya kila uamuzi watakaoifanya.
Alipoulizwa kuhusu ushirikishwaji wa wananchi kama haukuwa wa kutosha. Mzee Butiku amesema hadhani kama ushirikishwaji ulikuwepo, na kama uliikuwepo basi ulifanywa ktk namna ambayo haikuwa bora, kwani hata yye ni mwananchi lkn hajauona huo ushirikishwaji.
Ameulizwa endapo hoja za serikali kutetea suala la DP je, zinajibu hoja za wananchi? Mzee Butiku amejibu kuwa hazijubu ndiyo maana mjadala haukomi.
Ameonya wale wanaowatisha wanaotoa maoni kinzani na kusema tabia hii inajenga hofu na kujenga taifa la woga.
Anaongeza kwa kusema kuendelea na suala hili ni kuhatarisha umoja na muungano wetu.
---
Mzee Butiku: Rais ameruhusu tuzungumze, Watanzania bado waoga
"Nianze kwa kutoa shukrani kumshukuru na kumpongeza Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa mabo mawili kwanza kuruhusu Watanzania kuzungumza...tulikuwa na woga...lakini tangua Rais aingie ametuambia tuzungumze, waziwazi...ukweli
"Kwa maoni yangu Watanzania bado wanao uwoga...wana wasiwasi...hawana hakika kama maamuzi haya yaliyofanywa na serikali ni kwa faida ya nchi yao, hiyo sauti unaisikia wakati wote kwa ngazi zote"
Source: ITV Kipindi cha dk 45.
Option ya 2 ndo inayoendeleaMzee Butiku anasema kwa namna kelele zilivyo nyingi kuhusu suala la bandari serikali Ina namna mbili tu..
1. Kiheshimu hofu na maoni ya wananchi kwamba hawajaridhika na suala hili, au
2. Kuwapuuza wananchi na kuendeleza na suala hili.
kichaa anapomuona mtu mwenye akili kuwa 'chizi', hilo halishangazi.Jaribu uone chizi wewe
Kutosikia kwao ndiyo mauti yao.Kwa jinsi CCM ilivyo geuka chama cha wapigaji, sidhani kama watasikia kilio hiki kutoka kwa waasisi wa TANU na hatimaye CCM mwaka 1977.
"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".Kuiondoa Serikali ya CCM ni ngumu hata kama kukiwa na katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, maana wanashikilia majeshi.
Njia pekee ni coup d'etat itakayofanywa na wanajeshi wenyewe.
CCM wengi wao hawataki ni wale viongozi wachache waliopokea rushwa ndiyo wanataka huo mkatabaAmesema watanzania wasichokozwe kwenye mali zao wasikilizwe na wasibezwe mambo wanayoyahoji kabla jua halijazama
Usiku mwema wakuu naona swala la Dp world likileta anguko kubwa kwa serikali ! maana ccm imeona wao ndio wenye akili kuliko wananchi wenyewe wanaoshauri mkataba wa bandari urekebishwe, wengi wamejiuliza ni elimu gani wananchi wanatakiwa kuipata kuhusu mkataba huo?
Unadhani hata anajua kilichopo humo ndani? yeye naye anasikia tu kama sisi kuna mkabata lakini hajui hata ni nini huko ndaniHuyu mwanamke SSH anachokitafuta atakipata! Asitufanye watanganyika wajinga. Leo nimesikia kauli ya pamoja ya kamati kuu ya CCM (NEC) kuwa mkataba wa uuzwaji wa bandari kwa DP World huko palepale bila kujali lolole!
Hii ni nzuri maana inaenda kutupeleka kwenye maandamano ya bila kikomo"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".
By Jeffs O'Brien.
[Emphasis is added]
Unauliza kwamba "hivi wachawi Huwa wanalala sa ngapi"?Upo kitengo gani hicho ambacho hakina usingizi!??
Kwa nini chuo kikuu kilimpa saa100 PhD Kiliona ni kitu gani amefanya au kikwete ndo alishinikiza apeweAmesema watanzania wasichokozwe kwenye mali zao wasikilizwe na wasibezwe mambo wanayoyahoji kabla jua halijazama
Usiku mwema wakuu naona swala la Dp world likileta anguko kubwa kwa serikali ! maana ccm imeona wao ndio wenye akili kuliko wananchi wenyewe wanaoshauri mkataba wa bandari urekebishwe, wengi wamejiuliza ni elimu gani wananchi wanatakiwa kuipata kuhusu mkataba huo?
Mkataba wa BANDARI ni WAHOVYO Wajinga wanaushangiliaHivi yule msaliti aliyeamua kuzurura nje ya nchi amesharudi, au bado anapuyanga huko nje?
Amekosa muelekeo wa kuliongoza taifa, hajielewi kabisa.