Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
ipo njombe sehemu gan trioole 7?Sio Rose garden tu.
Njombe Kuna triple 7 ukipenda club 777.
Ila hii ya Njombe..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo njombe sehemu gan trioole 7?Sio Rose garden tu.
Njombe Kuna triple 7 ukipenda club 777.
Ila hii ya Njombe..........
Limejitia mastress mwishowe limekufa mapema,Kwa wenye roho mbaya dhidi ya CCM au makabila mengine aliwalipa roho mbaya na walikoma sasa hivi wengi wamebadilika roho mbaya kwa CCM iwe maofisini nk Roho mbaya imewatoka wanaheshimu CCM na makabila mengine yasiyo yao. MAGUFULI ALIWANYOOSHA BARABARA
Kwa hilo nampongeza Magufuli heshima ya kuheshimu CCM na makabila mengine yasiyo yao imerudi Mungu alimtumia Magufuli kuwatandika viboko wajue binadamu wote Sawa. SASA HIVI NI WANYENYEKEVU NA WAPOLE KILA ENEO JEURI ZA KIKABILA CHAO ZILIULILIWA MBALI NA MAGUFULI WANAUGUZA TU VIDONDA NYOKO ZAO
Umetumia kigezo gani kujua nimelijibu haraka?Mbona hili swali umelijibu kwa haraka hivyo[emoji23][emoji2]
Nikajua tripple 7 ni ya marope mwezi wa pili[emoji848]
Hifadhi wahanga
that is my message to you
the man is not here - but his wife is, so all you are doing is opening wounds Kwa mama ambaye si ajabu hata haumfahamu
don’t try to be holy and perfect mkuu… it serves nothing buddy
Pamoja na yote hayo, laxima mwanaume afurahishwe ama sivyo atachepuka. Huenda hiyo ndiyo sababu ya wanawake wa kichagga hupelekwa migamboni huku mwanaume akiishi mwenyewe kwa jina la klutafuta kumbe ni kumpisha nyumba ndogo inayojuwa kumfurahisha.halafu mnawaita wezi.Kuna kiongozi mmoja(RIP) alikuwa ana dhana kuwa wachaga wote ni wezi kumbe ni wachapa kazi ni waoga sana wa maisha hata mwanamke wa kichaga ukioa utaona faida yake hachagui kazi ya kufanya kwa kuona aibu.Makabila mengine yanawaza kushindana kununua khanga na kucheza ngoma.Jinsi ya kumfurahisha mwanaume kwa ngono.
Yeye hakuwaheshimu wewe ndiyo utaweza!Post za Kingese kama hizi sijui Zina faida gani
mleta post tujaribu basi respect his wife and children katika kipindi hiki
tuwe sensitive na familia za watu hata Kama zetu zimeharibika
Did you have that sympathy to Magufuli's family? Au mkuki kwa nguruwe.Two wrongs don’t make it right
never
Kama nimekukosea, na kosa lileikajudhilisha wewe, basi hakuna faida ya mpita njia kuendelea kuliongelea hasa in my absence
kwasababu mkosaji sipo, unayemtonesha ni mhanga tu
let’s have sympathy for any victim mkuu
usibariki dhalili
Hilo ni kweli hata darasa la 7 maarifa aliyonayo utadhani sio mtzhalafu mnawaita wezi.Kuna kiongozi mmoja(RIP) alikuwa ana dhana kuwa wachaga wote ni wezi kumbe ni wachapa kazi ni waoga sana wa maisha hata mwanamke wa kichaga ukioa utaona faida yake hachagui kazi ya kufanya kwa kuona aibu.Makabila mengine yanawaza kushindana kununua khanga na kucheza ngoma.Jinsi ya kumfurahisha mwanaume kwa ngono.
Kuna wawili hujawataja hapo nadhani Naja na nguzo . ingawa wengi mnawajua haoHuyu ndiye baba Daffa na Omega?
Yes I didDid you have that sympathy to Magufuli's family? Au mkuki kwa nguruwe.
Ni ndugu yanguwe unajuaje huyu Mama anataka matabia kama haya yabaki siri ?
what if she is a liberated woman who felt so painfully and grotesquely violated na anataka huu ushenzi na ufidhuli wa wanaume uwe exposed na ukome ?
how do you know amesamehe na kusahau na kuchukulia ni poa tu, mume kafanya basi yamepita ?
the heck do you know ?????
Ni ndugu yangu
SofoOkay, mwambie atoe tamko anataka tufiche maasi na masaibu ya mume wake…
Bila kumsahau yule boss wa kampuni ya mabango ya A1 outdoor.Na akina Kimei wa CRDB,Kinje walikua na Counter yao ya G7
Aaaah jamani. Ya Mlatie ile. Marope hayuko kabisa kwenye picture.Nikajua tripple 7 ni ya marope mwezi wa pili[emoji848]
Mbona na wewe huwa unamsema mbofumbofu JPMTwo wrongs don’t make it right
never
Kama nimekukosea, na kosa lileikajudhilisha wewe, basi hakuna faida ya mpita njia kuendelea kuliongelea hasa in my absence
kwasababu mkosaji sipo, unayemtonesha ni mhanga tu
let’s have sympathy for any victim mkuu
usibariki dhalili