Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yake ni muhimu kuliko siasa!Ndo kwa heri tena kisiasa.
Ila kuna tetesi akatimkia act
Kamwagwa kanda ya Pwani kajimwaga uenyekiti kajitoa uanachama. Cha ajabu polepole hakuwepo kuokota.Sumaye mwaga mboga
Tumechoka kunyanyaswa na dikteta Mbowe
Man of the match😁😁😁 ccm wanamtamani sana ila mwamba uko wima kama nguzo ya bender ya taifa😁😁😁
Nyie malaya wa kanda ya ziwa shombo tuu. Kwenu maendeleo ya cdm sijui mnayachuliaje?Sasa alikuwa hajui kama ndani ya Chadema hakuna demokrasia ? Kwani Lowassa aliwekwa vipi kuwa mgombea Urais Chadema ? Chadema hakuna demokrasia wala maendeleo.
Shangaa Sasa mwanakwetu,Prime Minister for ten fking years,aaaand what did he do?Maisha haya leo Sumaye anamuogopa Mbowe!
Sumaye yule mbabe wa 1995-2005!
Uzi wako umedoda huko " ufanyie rescue!Sumaye mwaga mboga
Tumechoka kunyanyaswa na dikteta Mbowe