Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumsikia vizuri. kasema anapumzika na anaweza tumiwa na chama chochote cha siasa iwe ccm, act etc . Kwa akili ya kawaida unatakiwa kusoma alama.za nyakatiAmesema hajiungi na chama chochote cha siasa.
Hata kwenye dini yetu ya kiislamu huwezi kusilimi papohapo tukakupa kua Imamu wetu.......angevuta subiraKumbe alifuata uenyekiti was chadema.....?!!!!
Yaani watu waanzishe chama wakijenge kwa jasho na damu,wewe uje tu,Bado mgeni,hujaaminika na hawajui pengine wewe ni plant on a mission,wakupe uenyekiti kirahisi tu....?.
Who does he think is he?
Shangaa Sasa mwanakwetu,Prime Minister for ten fking years,aaaand what did he do?
Kipi Cha ajabu alichoshindwa kukufanya akiwa PM,ataweza kukifanya Leo Kama chairman wa chadema?
Sawa nimezaliwa juzi naomba ufafanuzi yafuatayo:Kijana umezaliwa juzi nini.
Wakati akiwa PM alikuwa anaitwa Mr ziro.
Leo kageuka msaliti... AiseeLeten updates za huyu msaliti wa umma
Hivi Lowasa nae mlimpima?Kumbe alifuata uenyekiti was chadema.....?!!!!
Yaani watu waanzishe chama wakijenge kwa jasho na damu,wewe uje tu,Bado mgeni,hujaaminika na hawajui pengine wewe ni plant on a mission,wakupe uenyekiti kirahisi tu....?.
Who does he think is he?
Alikuja kumzuia lowassaHana Jipya kwenye siasa za Tanzania akafie mbele alizoea kubebwa ccm miaka yote.
Uyu alikuja chadema kimkakati kumzuia Lowassa asiende Ikulu.
Hivi nyinyi mnawaza vipi?Ila alichofanyiwa CHADEMA hakikuwa sahihi, pamoja na madhaifu yake kama alikuwa hatakiwi aenge elezwa tuu na si kudhalilishwa namna ile, ni kweli CDM tuna hasira kweli kweli na 'dola' lakini haikuwa sahihi kumbwagia hasira zetu Sumaye.
Utakuwa wewe ni mchawi, sio bure!Sumaye kamwanga manyanga mwenyewe kugombea Uenyekiti.Kaogopa kumfuata Chacha Wangwe kaburini. Mbowe ni dictator.
Hivi Lowasa nae mlimpima?