Mzee Jakaya Kikwete: Sina wasiwasi na uwezo wa Rais Samia Suluhu

Mzee Jakaya Kikwete: Sina wasiwasi na uwezo wa Rais Samia Suluhu

MPUNGA MMOJA

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
304
Reaction score
401
“Sina wasi wasi na uwezo wa Samia Suluhu kukiongoza chama (CCM), nina matumaini makubwa kwamba chama kitazidi kuimarika katika kipindi cha uongozi wake. Anakijua chama, amekuwa mjumbe wa NEC na Kamati Kuu kwa muda mrefu, yeye ni tunda la ndani ya chama” Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

"Tayari Samia Suluhu amepata uzoefu kwa miaka 5, atakuwa mwenyekiti mzuri, atakuwa Rais mzuri. Kushinda uchaguzi CCM msingi wake ni yale tuliyoahidi, tilivyotekeleza, mimi naamini Serikali ya awamu ya sita itafanikiwa kutekeleza sehemu kubwa.” Rais Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete

Chanzo: EATV
 
“Sina wasi wasi na uwezo wa Samia Suluhu kukiongoza chama (CCM), nina matumaini makubwa kwamba chama kitazidi kuimarika katika kipindi cha uongozi wake. Anakijua chama, amekuwa mjumbe wa NEC na Kamati Kuu kwa muda mrefu, yeye ni tunda la ndani ya chama” Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

"Tayari Samia Suluhu amepata uzoefu kwa miaka 5, atakuwa mwenyekiti mzuri, atakuwa Rais mzuri. Kushinda uchaguzi CCM msingi wake ni yale tuliyoahidi, tilivyotekeleza, mimi naamini Serikali ya awamu ya sita itafanikiwa kutekeleza sehemu kubwa.” Rais Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete

Chanzo: EATV
Kikwete hakunena chochote enzi za Magufuli.
Ila leo msemaji
 
Hivi huyu jamaa amekuwa msemaji wa Samia siku hizi?

Anyway whatever the case, msituletee habari zenu za bandari ya Bagamoyo, unless otherwise terms za kwenye huo mkataba ziwekwe wazi.
Terms haziwekwi wazi.

Bandari itajengwa.

Na hautafanya chochote.

Kama ambavyo magu alijenga uwanja wa ndege chato na waliohoji hawakufanya chochote.
 
Terms haziwekwi wazi.

Bandari itajengwa.

Na hautafanya chochote.

Kama ambavyo magu alijenga uwanja wa ndege chato na waliohoji hawakufanya chochote.
Wewe ni mdogo wake, au wa Samia, au HB wao?
 
“Sina wasi wasi na uwezo wa Samia Suluhu kukiongoza chama (CCM), nina matumaini makubwa kwamba chama kitazidi kuimarika katika kipindi cha uongozi wake. Anakijua chama, amekuwa mjumbe wa NEC na Kamati Kuu kwa muda mrefu, yeye ni tunda la ndani ya chama” Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

"Tayari Samia Suluhu amepata uzoefu kwa miaka 5, atakuwa mwenyekiti mzuri, atakuwa Rais mzuri. Kushinda uchaguzi CCM msingi wake ni yale tuliyoahidi, tilivyotekeleza, mimi naamini Serikali ya awamu ya sita itafanikiwa kutekeleza sehemu kubwa.” Rais Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete

Chanzo: EATV

ila ulikuwa na wasiwasi na uwezo wa .......​

 
Zaidi ya kuja kuliakulia hapa JF.

Hautakuwa na la kufanya bandari itakapojengwa.
Umeshazoea kukanyagwa kichwani. Pole.
EzuZUZ_XEAALDWK-1.jpg
 
Back
Top Bottom