Mzee Kikwete: Rais Samia ametuliza nchi na kuvutia Uwekezaji

Hajawahi msifia lakini pia Ukiwa Kiongozi huwezi mponda ikizingatiwa ni chama Kimoja.

Mwisho wewe ulikuwa unataka bullying ya Mwendazake? Ustawi upi wa Maisha alileta ukiacha hayo mnayosemaga alijenga,alihjenga na majigambo mengi yasiyo na msingi?
 
Labda ulikuwa hufuatilii, Magufuli alipokuwa akitimiza miaka kadhaa madarakani wastaafu walikuwa wakihojiwa na kumpa sifa zake, japo hazifanani na za Samia lakini kila kiongozi ana uzuri wake na ubaya wake
Sasa ulitaka wasimpe Ili awa harass? Wewe unaona alikuwa ni binadamu yule? Anafuatilia mazungumso ya watu Kila mahala.
 
Ameituliza familia yake
Mtoto waziri
Mama ni mbunge, ni mke wa mstaafu analipwa ubunge na mafao ya ustafu.
Magufuli ndio aliowapa nafasi za Ubunge ukiacha Unaibu Waziri Aliotoa Samia.

Kwani wewe hujatulizwa? Huoni unavyoropoka Kwa uhuru humu jf na huganywi chochote.

Enzi za Jiwe usingeropoka shit Kwa Mwendazake ungelambishwa cock
 
Hivi waandishi wa habari wana akili kweli? Huyu mtu si wa kumpa space ya kuongea, the guy was useless as a President na hamna la mana alilolifanya hapa nchini zaidi ya kulitia taifa hasara kwa safari zake za kijinga kama kwenda kuvuta bangi na kubembea Jamaica. Yaani anashindwa hata kuona haibu kusifia mazuri machache ya Samia, yeye alishindwa nini kufanya katika miaka yake yote 10 madarakani?
 
Watu wazuri hawafi
 
Eeeh Mungu baba. Mfundishe huyu mzee kunyamaza.

Analipwa mshahara wa Urais kama pensheni. Ana marupurupu kibao. Amejikatia keki kubwa ya Taifa na bado haridhiki. Sasa anadhani watu wote ni wajinga
 
Fupa zuri hili. At what cost?
Anyways Kampeni ni full max nondo.

Na wasiwasi leo Mwalimu J.K.Nyerere kageuka kaburini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…