Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Mzee Kikwete: Wanaolalamikia kupanda kwa bidhaa ni unafiki mkubwa

Kasema ukweli. Hebu nyie mnaolalamika vitu kupanda bei mna majawabu gani?
1. Je ungefanya nini bei ya mafuta isipande?
2..Je ungefanya nini bei ya vyakula isipinde ikiwa mvua hazikunyesha vizuri
3. Je ungefanya nini umeme usikatike kama mabwawa ya kuzalisha umeme yana maji kidogo.
4. Ungefanya nini nauli zisipande ikiwa mafuta yameoanda bei.
5. Ungefanya nini...
Mwenye akili timamu hutafuta jawabu kulingana na hali ya wakati huo. COVID 19, jawabu la mwamba ilikua ni HAKUNA LOCK DOWN. wati wafanye kazi.

Jawabu la Mwamba kipindi hiki nadhani ingekuwa ni kununua mafuta yenye bei nafuu either directly au kutumia watu waingize mafuta kwa bei nafuu.
 
View attachment 2555763

Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?

Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Toka lini mramba asali akajuwa ugum wa maisha.., kuna watu ktk hii Nchi toka kuzaliwa kwao shida ni kuijuwa tu kwa neno shida.
 
Mzee nae anajifanya baba wa taifa, anashauri nini na anamshauri nani mbona yeye alipokuwa ulingoni hakuyafanya hayo anayoshauri, jamaa analinda tu maslahi yake.
 
Hazipo sawa, hapa unaweza kwenda kwa shangazi ukala ukalala, Uingereza hiyo ni ndoto.
Haaaa haaaa we nae kwa mbwembwe utafikiri ushafika huko. Bara jeusi watu wanakufa njaa ila huko unajokusema serikali inawalisha watu achana ndugu zako wanaonunua mahekalu nje huku watu wanakufa njaa
 
View attachment 2555763

Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?

Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Sikuwahi kuamini kuwa huyu mtu aliumbwa with very low thinking...

Hivi ana tofautianaje na yule mfalme Louis wa Ufaransa?

Huwezi kuwaita wananchi wako WANAFIKI. kikubwa anakiri kuwa kukosa suluhisho kwa inflation ndo ukomo wao wa kufikiri.
halafu unatabasamu kabisaa na kuuliza, ungekuwa wewe kwenye kiti ungefanyaje? Hawa ndo watesi wetu hawa.
God forbid
 
View attachment 2555763

Mstaafu Jakaya Kikwete ameingilia kati mjadala wa kupanda kwa gharama za maisha kunakolalamikiwa na wananchi wengi na hii ni moja ya nukuu yake kupitia clip moja hivi inayosambaa sana kwenye mitandao.

'Bei imepanda sasa mtu ndio wanatunga na nyimbo, mafuta yamepanda bei ni unafiki mkubwa kwa kweli

'..eeeh unajua wakati mwingine offcourse ndio unasema adui yako muombee njaa wale wasiombea heri Serikali wanadhani lakini wakati mwingine ni lazima wawe wakweli tu haya mazingira wangekuwa wao ndio wako kwenye uongozi wana majawabu gani ndio bei ya mafuta ingeshuka?

Bei ya mafuta imepanda Uingereza penyewe'
Kula BURE, mke mbunge, mtoto waziri, Bi mdogo magogoni.
 
Huyo anakula mshahara 80% wa Rais aliye madarakani. Huyu anaweza kuyafahamu mateso tunayopitia wananchi wa daraja la chini????
Zifahamu benefits za Rais mstaafu wa JMT kwa mujibu wa Political Service Retirement Benefit Act, 1999.


On retirement the president is entitled to the following benefits under this law.

To begin with he shall be entitled to annual pension that will be payable to him every month at the rate of 80% of the incumbent president.

He will also be entitled to a gratuity the amount of which is 50% of the total salaries received when in office as a president.

He: is also entitled-to winding up allowance the amount of which is the total salaries accorded to the incumbent president for 24 months.

Other benefits include the diplomatic passport, for him and the spouse, Health insurance for treatment in the United Republic of Tanzania, the service of two vehicles availed to him by the government, a full furnished house with not less than four rooms (self contained) together with the servant quarter.

Maintenance allowance for every month the amount of which shall be equal to 80%, of the salary of the incumbent president. He shall also be entitled to security services to him and his family, one personal assistant, one personal secretary, office attendant, one cook, one laundry man, one laundry man, domestic servant, one gardener, two drivers and he will also be entitled to use the VIP lounge.

If the president dies while in power or after retirement but before - receiving his benefits the dependants shall be entitled to a gratuity the amount of which is equal to the total of all salaries which were received by the president while in power.[2] Again where a retired president dies the widow shall be entitled to a pension of 25% of the salary of the incumbent president.
Bado mke wake analipwa

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom