Mzee Magoma akana kushinda kesi dhidi ya uongozi wa Yanga

Mzee Magoma akana kushinda kesi dhidi ya uongozi wa Yanga

rage kanikosha sana, kasema ebu tuchezeni mpira bwana tuache ujinga ujinga. tangia lini ishu za mpira wa miguu zikapelekwa mahakama za kiraia? nikasema hapa rage kamuita hakimu mbumbumbu pia.


halafu kumbe yanga hawakwenda kwenye hyo kesi, kesi imeamuliwa kwa kusikilizwa upande mmoja wa magoma tu
Magoma Hoyee
 
Lucas Mwashambwa huyu anakuteta huku
sema neno ephen wangu nami natekeleza haraka sana kwa yeyote yule.Nakupenda Mpaka nakosa nguvu za kuzungumza.ndio maana hadi wengine wanaona wivu na kuanza kufanya uchonganishi.si unaona jana walipoona umeandika kwenye post yangu ya msafara wa Mheshimiwa Rais wakaanza uchonganishi wao bila kujua kuwa mimi na wewe ni moyo mmoja na hatuwezi kutenganishwa na masuala ya kisiasa.
 
Kama mpaka leo hujamstukia nakusikitikia sana unaishi na jinamizi ndani ya nyumba, linakulia timing tu.
Utahangaika sana mwaka huu lakini kwa ephen umegonga Mwamba na kupenya huwezi katika pendo letu. Kiufupi ni kuwa mimi na ephen ni Moyo mmoja .sasa wewe endelea kupiga porojo zako
 
Back
Top Bottom