CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wewe ulifikiri mimi naweza kuwa utopolo, nimerogwa? Eh yule zamwamwa leo yuko wapi sijayaona mashudu yake?🚮Kwenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulifikiri mimi naweza kuwa utopolo, nimerogwa? Eh yule zamwamwa leo yuko wapi sijayaona mashudu yake?🚮Kwenda
Yupo! Ukiona hivyo yupo busyWewe ulifikiri mimi naweza kuwa utopolo, nimerogwa? Eh yule zamwamwa leo yuko wapi sijayaona mashudu yake?
Anaandaa magazeti yake, au anaugulia maumivu ulivyommwaga?Yupo! Ukiona hivyo yupo busy
Tumerudiana kwa taarifa yako😂Anaandaa magazeti yake, au anaugulia maumivu ulivyommwaga?
Kati yako na yeye nani king'ang'a?🤣🤣🤣😅Tumerudiana kwa taarifa yako😂
Aisee! Nakusemea akija unaleta chokochoko😂Kati yako na yeye nani king'ang'a?🤣🤣🤣😅
Simuogopi yule mtoto mdogo sana japo najua kwao wachawi sanaAisee! Nakusemea akija unaleta chokochoko😂
Aya maneno utayasema akijaaa!Simuogopi yule mtoto mdogo sana japo najua kwao wachawi sana
Mbona mara kibao namueleza kuwa bora angejikita kwenye fani ya familia yao ya ulozi na kuchuna watu ngozi. Wewe jichetue tu kwake hakawii kukutoa ndagu.Aya maneno utayasema akijaaa!
Yule sio mwanga bhanaMbona mara kibao namueleza kuwa bora angejikita kwenye fani ya familia yao ya ulozi na kuchuna watu ngozi. Wewe jichetue tu kwake hakawii kukutoa ndagu.
Magoma Hoyeerage kanikosha sana, kasema ebu tuchezeni mpira bwana tuache ujinga ujinga. tangia lini ishu za mpira wa miguu zikapelekwa mahakama za kiraia? nikasema hapa rage kamuita hakimu mbumbumbu pia.
halafu kumbe yanga hawakwenda kwenye hyo kesi, kesi imeamuliwa kwa kusikilizwa upande mmoja wa magoma tu
Kama mpaka leo hujamstukia nakusikitikia sana unaishi na jinamizi ndani ya nyumba, linakulia timing tu.Yule sio mwanga bhana
Lucas Mwashambwa huyu anakuteta hukuKama mpaka leo hujamstukia nakusikitikia sana unaishi na jinamizi ndani ya nyumba, linakulia timing tu.
Yule hanywi pombe wala havuti bangi hushangai siku nyingine ghafla macho yanakuwa mekundu sana? ukiona hivyo ujuee hapo ayupo yuko zake Songwe unabaki na mgomba tu, shauri yako.Lucas Mwashambwa huyu anakuteta huku
hoyeeeeMagoma Hoyee
sema neno ephen wangu nami natekeleza haraka sana kwa yeyote yule.Nakupenda Mpaka nakosa nguvu za kuzungumza.ndio maana hadi wengine wanaona wivu na kuanza kufanya uchonganishi.si unaona jana walipoona umeandika kwenye post yangu ya msafara wa Mheshimiwa Rais wakaanza uchonganishi wao bila kujua kuwa mimi na wewe ni moyo mmoja na hatuwezi kutenganishwa na masuala ya kisiasa.Lucas Mwashambwa huyu anakuteta huku
Utahangaika sana mwaka huu lakini kwa ephen umegonga Mwamba na kupenya huwezi katika pendo letu. Kiufupi ni kuwa mimi na ephen ni Moyo mmoja .sasa wewe endelea kupiga porojo zakoKama mpaka leo hujamstukia nakusikitikia sana unaishi na jinamizi ndani ya nyumba, linakulia timing tu.
Umemlisha limbwata, likija ku expire ndiyo utaumbuka.Utahangaika sana mwaka huu lakini kwa ephen umegonga Mwamba na kupenya huwezi katika pendo letu. Kiufupi ni kuwa mimi na ephen ni Moyo mmoja .sasa wewe endelea kupiga porojo zako
Mimi na ephen hata shetani Mwenyewe ameshindwa kututenganisha . Tunapendanaaa ni hakuna mfano.Umemlisha limbwata, likija ku expire ndiyo utaumbuka.