Mzee Makamba ahamaki alipoulizwa kuhusu mgao wa umeme nusu amlambe vibao mwandishi wa habari

Yaani wanatudharau saaana wanaona nchiiii ni ya kwao.yaani huyu Mzee katuboa wengi .
Nchi ni ya kwao kweli hii nchi ni ya ccm, tukilikubali hili ndio tutaweza kuelewa hayo wanayoyafanya hao ccm ila tusipokubali ndio tutaendelea kushangaa tu na kulalamika hadi mwisho. Wewe unatamkiwa kabisa kama hutaki hamia Burundi, mnaambiwa muwe na shukrani ila bado tu hamjaelewa?
 
Mzee Makamba ni Mzee wa Waraka! hii hadi sijajuwa umuhimu wa Waraka wao kwa Taifa!!
 

Hahaa
 
Kuna wazee na raia wengi wa aina yake ambao mara zote wanachukulia nchi yetu kama familia tu na watawala ndio baba au mama zetu. Ni fikra za hovyo sana.
 

Habari ndugu zangu? Nimeangalia video hii ya Mzee Yusufu Makamba akihojiwa na ndugu Waandishi wa Habari ila nimeshangazwa na namna anavyojibu maswali kwa ukali na kushindwa kujibu maswali muhimu nimeshindwa kumwelewa huyu mzee nahisi kuna waya umekatika kichwani. N:B Baba na Mtoto hawaeleweki tatizo.​

Your browser is not able to display this video.

 
Mengine ni umri
Ukizeeka akili huwa zinarudi kama ulivokuwa awali
Unaanza kutosikia vizuri kama ulivokuwa mtoto
Unaanza kutetemeka ukisimama kama ulivokuwa unaanza kukua
Unaanza kuongea kwa kubabaika kama ulivokuwa mtoto
Unaanza kutambaa kama ulivokuwa mtoto
Mwishowe unafikia hatua ya kukaa tu na kubebwa kama ulivokuwa mtoto..
 
Data imezima
 
Kwani Makamba umri wake kawazidi miaka mingapi Wakina Butuku, Warioba, Shivaji, Biden, Kikwete?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Huyu akipewa nchi atakuwa mmbaya kuliko Magufuli.
 
Unavyizidi kuwa mzee ndivyo akili inazidi kupungua.huyo makamba akili imeisha ndiyo maana anashindwa namna ya kujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…