Mwandishi: Mzee Makamba nchi inakabiliwa na ukosefu wa maji na umeme, lakini wewe unasema mambo yako vizuri, hayo matatizoo.....
Mzee Makamba: Kwako nyumbani hauwaki?, kuwa na shukurani.
Mwandishi: Sawa, turudi kwenye hio point...
Mzee Makamba: Nakuambia nchi ni kama nyumba yako, hii nchi ni kama nyumba, huwezi kuwa na vyote humo nyumbani, una watoto 7, wanakwenda shule, huyu kaptura imechanika, huyu bado, huna hela utasema walimu subirini leo nimnunulie huyu, nchi ni kama nyumbani we nyumbani kwako umeyamaliza yote, baba yako ameyamaliza yote, mimmi sijayamaliza, unaitaka CCM iingie leo iyamalize, ni chama gani hicho? Kama haya huelewi hutaelewa ya mtu mwingine..
Mwandishi: Sawa tutu....
Makamba: Kuanza na neno lakini si sawa sawa, lakini ni kiungo cha ubishi, kama unajenga hoja jenga nini? usianze sentensi na lakini, lakini ni kiungo cha nini cha ubishi we hukusoma? nakuuliza hukusoma?
Mwandishi: Nilisoma.
Mzee Makamba: Mpaka wapi?
Mwandishi: Mpaka chuo kikuu.
Mzee Makamba: Umekijenga na baba yako?
Mwandishi: Sawa turud....
Mzee Makamba: Nakuuliza twende kwenye hoja, umesoma wapi?
Mwandishi: Matatizo ya nchi...
Mzee Makamba: Nakuuliza Twendeee kwenye hoja, umesoma wapiii?
Mwandishi: Kama katibu mkuu mstaafu...
Mzee Makamba: Nakuuliza swali hukusoma? hukusoma?
Mwandishi: Mzee Makamba labdaaa....
Mzee Makamba: Sisi miaka hio ya 60, tumeshinda vyuo vikuu hakuna, leo hii umekwenda chuo kikuu unasema nchi ina matatizo, umekijenga na baba yako?
Mwandishi: Mzee lakini mwanao analamba mno asali...
Mzee Makamba: Hio asali ulimnunulia?....
Mwandishi: lakini mzee?
Mzee Makamba: Twende kwenye hoja, hio asali ulimnunulia au ulikua unalamba nae?
Mwandishi: Lakini mzee, CCM ipo tangia mwaka 61, mpaka leo tunalia umeme maji....
Mzee Makamba: Kijana!!! Kijana!!! nitakunasa kofi... SHeenz umefunzwa kwenu hivyo eti eehh!!!
Mwandishi: Mzee Mwamvita yupo?
Mzee Makamba: Aisee hebu nishikieni kibaragashia changu kwanza na saa nimuoneshe huyu sheitwan....
Mwandishi: Mzee mbona tunasikia mwanao alinunua mitihani na alikuwa kiazi shuleni...
Watu wa pembeni: Jamani waachanisheni watauana.... afande, afande...
UVCCM mmoja: Aisee huyu mzee ana presha, presha imepanda iteni ambulance....
Mwandishi: Jamani mie huu mzee nilimheshimu kama mzee wangu tu, sijamgusa kaanguka mwenyewe....
Afande: Aroo uko chini ya urinzi......
SSH: Hilo nalo askari mkalitizame..
View attachment 2439144