Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Walemavu wa akili ni wengi sana Tz. na hii itachukua zaidi ya karne na karne kuondokana na ujinga,umasikini,maradhi,ufisadi,unafiki,uzambiki n.k.
Ukisikiliza Wengi wa viongozi wa swisswism na wapinzani hewa waliohudhuria mkutano wao wa familia yao wenye dhambi utagundua karibu wote ni walemavu wa akili kwani wanamjadili mtu na kusahau agenda zao.
Inanisikitisha nchi yangu ya kusadikika....
 
Mleta mada Nani kakwambia CCM wanaaminiana? Hao jamaa wanachekeana surani moyoni kila MTU kivyake.
 
Hv Pengo akisemwa tayari laana inatoka? Je Pengo si alimsamehe akiwa amekalia kiti cha uasikofu? Je Magufuli akimsema vizuri Gwajima kwenye hotuba yake, Makamba atajisikiaje?
 
Gwajima aliongea ukweli wengi hawakupenda kuusikia
 
Unataka kutukumbusha yale ya Kigoma kumpa mimba mwanafunzi na kukimbia? Acha bwana, nayo ya zamani watu wamesahau
 
Hivi Gwajima ni mtumishi wa Mungu au mwanasiasa?
Ni aibu mtumishi wa Mungu kuwa na tabia kama ya Gwajima!
 
JK na JPM sivyo kama tunavyowazungumzia mitandaoni. JPM anaweza kuikosoa atakavyo serikali ya awamu ya nne na zile zilizopita lakini mmoja wa washauri wake wa karibu ni JK. Hivyo wanavyokaa pamoja atakayeumia anaweza kuwa ni askofu.
Umejuaje?
 
Ngoja tuyaone hiyo kesho. Bahati nzuri umeme na lami inapita mlangoni kwa Gwajima hivyo hana ombi maalum toka kwa watawala.
 
Ukifanya mema unakuwa na mategemeo ya kwenda mbinguni, unapofanya dhambi napo njia yako ni motoni. Hivyo ndivyo anapaswa kuamini kila anaeamini uwepo wa nwenyezi mungu.
 
Kukaa kimya si ujinga, bali ni hekima ...
 
Hapakuwa na haja ya kuendelea kumhusisha Baba Kardinari na siasa za chaguzi ndani ya CCM.
Mtoa tamko labda tu kama alikosea, lakini si vyema kuibua hayo kwani Baba Kadrinali alikwisha sahau na kumwachia Bwana wetu Yesu Kristo apate kuhukumu katika haki na ikiwezekana apate kumsaheme yule aliyemkwaza kwa kunena, kutenda na vyovyote vile ambavyo haikuwa sawa.
 
Natamani Gwajima ajibu ili siku zangu za kuishi ziongezeke
 

kanisa hili si limefunguwa,? au nimechanganya kumbukumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…