Ndo huu ujinga naupinga mia kwa mia,
wakati unakuta mtu wa kijijini kwenu akiumwa akapangiwa hospitali tuseme muhimbili,unapigiwa simu.
anafikia kwako,unamhudumia na pengine huko mhimbili hapajui unampeleka n.k
ila ukifa ukapelekwa maiti,wanavuta midomo kwamba huwa huji kuwazika.