Mzee Mohamed: Tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli

Mzee Mohamed: Tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
MZEE Mohammed Juma, Mkazi wa Unguja Zanzibar amesema kama Taifa tuna kazi kubwa sana kumuandaa kijana atakayefanana na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele.

“Tuna kazi kubwa sana ya kumuandaa kijana atakayefanana na Magufuli, tuna kazi kubwa sana , yule mzee aliingia pale hakuwa na tamaa yoyoye aliingia pale kwa niaba ya kuijenga Tanzania na alikubali lolote limfike lakini Tanzania isonge mbele” Mzee Mohamed Juma Mkazi wa Unguja, Zanzibar Tanzania.
 

Attachments

  • Video_20221230_172950.mp4
    6 MB
Wapo ambao ni zaid8 ya Magu na Nyerere lakini mfumo unaratibu kwa tahadhari kubwa hilo lisijekutokea.

Kutawala na kuiba kwa mujibu wa sheria kuna raha yake, hivyo ndoa ya CCM na dola ni kubebana na kupeana pande
 
"Great minds discuss ideas and issues but simple minds discuss people and events", Tuache hii tabia ya kujadili watu na matukio tujikite kujadili mada husika
umenena sahihi mkuu. wao walisema magufuli ni mkabila anakubalika kwa wasukuma wenzake leo Wazee wa Kiislamu kutoka Zanzibar wanasema hisia zao kuhusu Magufuli wanaanza tena mara wauza kahawa.
 
Tunapima maneno kwa kuangalia yametoka kwa nani sio mtu kashiba mihogo huko anaongea kwa niaba ya watanzania wote
shika adabu yako Mzee Mohamed hakusema ameongea kwa niaba ya watanzania wewe ndio umesema hayo maneno yeye ameongea hisia zake, Watu wazuri hawafi inawauma baada ya kampeni yenu ya SUKUMA Gang kugonga mwamba sasa mnaanza kutapatapa kuona wazanzibari wako na JPM
 
Wapo ambao ni zaid8 ya Magu na Nyerere lakini mfumo unaratibu kwa tahadhari kubwa hilo lisijekutokea.

Kutawala na kuiba kwa mujibu wa sheria kuna raha yake, hivyo ndoa ya CCM na dola ni kubebana na kupeana pande
Hakuna ndoa yoyote batili Kati ya CCM na dola isipokuwa kupitia sanduku la kura. Mimi siku zote nipo tofauti na CHADEMA na vyama vingine vya upinzani kwenye Jambo hilo. Mitaani na vijijini huko watu wengine hawavijui wala hawavifahamu vyama vingine vya upinzani leo mzee Dovutwa sijui yule mzee wa ubwabwa anakuja na yeye anadai kaibiwa kura.

Wacha nikukumbushe tena mtaa ninaoishi Mimi wanachama wa CHADEMA hawazidi hata 80 wakati wanachama wa CCM wapo zaidi ya 5000 bila kuhesabu watoto na wakinamama. Upinzani hauna watu mitaani na huku mitandaoni wanapojivunia napo sio pa kuamini.
 
Back
Top Bottom