TANZIA Mzee Said Mohamed (baba yake GSM) afariki dunia
Mzee wa COCACOLA pale Mwanza anaendesha biashara hiyo, pamoja na biashara nyingine nyngi na watoto na wajukuu wake ; sijui kama unafahamu hilo. Akisepa wataendesha wao. Mwingine, kwa mfano tu, ni Mzee Sykes! Hata Mzee Rupia! Hiyo ni mifano michache ya kutukuka!
Mkuu coca cola mwanza (nyanza bottlers) unawajua wanahisa wake?
 
Back
Top Bottom