Mzee Uledi na Msafisha Viatu wamuonya Tundu Lissu vita alioanzisha imeingia kwenye "Grey Zone", kutoka itakuwa shida

Kuyakashifu maneno matakatifu kunaonesha upumbavu uliokujaa kichwani. Hata kama siyo imani yako acha kukashifu imani za wenzio wewe Zuzu wa Lumumba. Unaiita biblia ..the so called? Foolish of your own type.
 
Mithali 27:1
'Usijisifu kwa ajili ya kesho,
kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa kwa siku moja'
 
Kosa kwa mujibu wa sheria ipi? Tuwekee kifungu wewe bendera fuata upepo
 
Huu upupu ndio unafanya mnaenda choo..
Viongozi nao wamewekeza kwa wajinga kama hawa..
 
Mleta mada mm naona hiyo grey zone itakuwa ya kawaida kwa lissu. Kuna grey zone zaidi ya risasi zile zote mwilini mwake? Kweli anaweza ogopa jambo jingine?

Hata hivyo hao wazee walikusimulia mengi.
 
Nani wa risasi 33 alionja pepo huyo
Uwezi onja pepo, huyo ali disco kifo, watu walishaandaa mahafali tayari na cheti waliprint.... Saizi naona anarudia paper lile lile. Mwambieni soft copy ya cheti ipo tayari, tarehe tu ndio ya kuchange.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…