Mzee wa Kanisa la Wasabato awafuturisha Waislamu 100 Tanga

Huna hoja, nenda kakojoe ulale. Huna akili ya kujadiliana na mimi.

Basi nenda Kwa mwamposa akakuuzie mchanga wa upako au chupi za bahati ili upate uzao mwingi wenye baraka za bwana...teh teh teh...
 
Ningekuwa mimi ningepikia chakula mafuta yaliokaangiwa poku licha tu ya mafuta ningewawekea na poku.Lengo ni kufanya utafiti kuona kama wakila poku wanakufa au nini kinatokea
Hawawezi kufa mana hata kitimoto wameruhusiwa kula kama hakuna chakula kingine.
 
Reactions: 511
Basi nenda Kwa mwamposa akakuuzie mchanga wa upako au chupi za bahati ili upate uzao mwingi wenye baraka za bwana...teh teh teh...

Kwanza unapiga kelele hapa umekulaa. Ngoja ukose barka za mudi.
 
Na hata sisi wakristo wa zamani tulikua tunawakubali sana,wao walikuwa Wana deal na dini Yao tuh,waliishi na sisi Kwa heshima na adabu, ulikua huwezi kuskia huu upuuzi wa hawa wakristo wa Sasa...

Then wakristo wa zamani hawakuwa mafala kama hawa wa Sasa eti waende Kwa mwamposa wauziwe mchanga,mara chupi za bahati,mara maji ya upako,au mara sijui papa aje awafungishe ndoa za wasen.ge wale hawa kuwa mafala kama hawa wa Leo.
 
Mbona sinza na tabata kwenye mabaa kumedororaa?
Subiri wakifungulia utaona kama utapata kitimoto tena
Siyo huko tuh, hata biashara yangu ya kitimoto haiendi kabisa... Wateja Wangu wote wamefunga..
 
Sidhan, yaani mvaa kobazi ale futari iliyoandaliwa na kafir? Hii ni maajabu
 
"watoto wa mama mdogo" wamekula chakula cha "makafiri"?

#Tumbo-halina-haya!
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…