Kanyigoboy
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 529
- 1,316
Shida yenu ni ulafii ukute mzee wa kanisa kawapiga na mixer ya nguruwe mlivyo wa hovyo[emoji23][emoji23][emoji23]Makafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Waislam wanaamini Wasabato ni ndugu atleast, wana share baadhi ya mambo, sidhani kama.hilo unalijuaMakafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Labda na wao wanaona tutawapa mwaliko siku ya Christmas 🤣🤣Makafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Walilazimishwa kwenda?Makafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Yesu alikuwa anafunga siku arubaini hivi wewe unafunga kama Yesu?.Wapemba ni waharifu wale, wanajua kabisa hata kitabu chao hakiwapi haki ya kuchapa watu bakora mwezi wa ramadhani! Ni uhalifu tu upumbavu uliowajaa
Hayupo MUNGU wa kweli kuwaamrisha watu wachapwe bakora sababu tu wao hawakufunga! Na mbaya kabisa si wa imani yao
Hatutaki shobo, nyinyi mna dini yenu pambaneni na Hali zenu, shobo za Nini makafiriWalilazimishwa kwenda?
We mpemba ni mjinga sana, unachapa watu bakora kisa njaa zako?
Unajidai kufunga kumbe huwezi?
Mwenye uwezo wa kufunga siku arobaini kavu!Yesu alikuwa anafunga siku arubaini hivi wewe unafunga kama Yesu?.
Ni sahihi.Wasabato ni waislamu waliochangamkaMuslims na Wasabato damudamu........mambo kadhaa wanashare
Afu kesho mchana wamvizie wamchape.....hawashindwi
Ameona mna njaa sanaMakafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Nyie acheni Shobo kuingilia uhuru wa watu katika kula..Makafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kutupa hiyo ftari haimaanishi hatutamchapa mara tu tukimuona anakula mchana.
Na hao waislamu wakala hiyo futari? Hawapo serious.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Msabato na muslim wanaelewana sana, ila Muslim na Mkatoliki na Msabato na Mkatoliki hawaivi sijui kisa ni yule mbuzi katoliki!!!Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Wasubiri cha moto toka kwa wenzaoNa hao waislamu wakala hiyo futari? Hawapo serious.
Kisa ni mbuzi wa kikatolikiWasabato na Waislam huwa wana endana sana,
Nijifunze kuishi kama mkristo?Nyie acheni Shobo kuingilia uhuru wa watu katika kula..
Mngejifunza kuishi kama wakristo.. naamini kusengekuepo na chuki na kuua kujilipua hata ugaidi pia..
Dini gani inayofundisha kumchukia binadamu mwenzako..
Usipende usitupende sisi tutaishi kwa upendo na kila mtu hivyo ndivyo tunafundishwa.