kashakambajile
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 219
- 214
Mzee kwa maneno hayo tumekuelewa; yatosha kwamba ulihudhuriaMwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.
Mnazungumzia mkataba wa bandari tu kuna mingine ya TANESCO, TPDC, Kampuni ya Mafuta ; mashirika yote haya Samia ameidhinisha yaingie mikataba na UAE!Kila mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono mkataba wa kubinafisisha Bandari zetu zote Tanganyika halafu za Zanzibar zikiachwa
Hao wazee walitimiza waliyoweza kutimiza... Wewe kwa umri huo unafanya nini??Hawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!
Mkuu,Uhuru ni mzuri sana.
Miaka mitatu nyuma angepewa mwaliko kama huo angewahi ukumbini siku mbili kabla.
If your reference ni Huyu, then sina cha kusema… Uko biasedBandari sio ya mkoloni!
Mkoloni aliacha gati 2 sasa ziko 7. Mwarabu wanasema anakuja kujenga saba (japo haipo kwenye mkataba), kwa hiyo Mwarabu akijenga gati 7 na sisi tulijenga 7. Katushinda nini ?
Nyerere took over the helm akaanza kuzijenga kuanzia 1970. Bandari imejengwa phase nne, Sultani, Mjerumani, Nyerere, na Magufuli (ujenzi wa Magufuli kaja kuuzindua Rais Samia 2021).
Msikilize huyu mwamba, shuhuda, mkufunzi na mwanafunzi wa historia ya Tanzania kuhusu nani alijenga bandari:
Kwa hiyo tuliweza kupanua bandari sisi wenyewe mdogo mdogo. Kwa nini Nyerere na wasaidizi wake kina Warioba na baadae Magufuli hawakuhitaji Mwarabu kuongeza ma gati ya bandari?
Kuna tofauti kati ya kuhoji na kupinga...kwamba mtu yeyote yule mwenye mashaka au kuhoji kuhusu mikataba anapinga? Wawekezaji?
Huyu nae ni walewale,swala la kusemea ni lile lenye ukakasi,Mwanangu asante kwa mwaliko japokuwa sioni cha kuzungumza kwenye huo mjadala uhusuo huo mkataba."
Kiukweli siwezi kwenda kujadili jambo ambalo limezua mjadala mkubwa namna ile na halijajibiwa kwa kina na wahusika!"
Suala la mipaka ya Nchi ni nyeti kama hilo la mpaka wetu wa bandari. Itoshe tu niseme tahadhari inayoendelea kutolewa na wadau isipuuzwe!"
MWALIKO NIMEUPOKEA LAKINI NITASHINDWA KUHUDHURIA KWENDA KULISEMEA JAMBO LENYE WINGI WA MASHAKA!"
Jaji.
Waarabu tuliwaajiri kupigana na Wareno wakati wareno wakitaka kupora nchi na sio kufanya biashara waarabu wakatupigania miaka 200 walipowafukuza wareno wakatuona tunaupiga mwingi wakaamua kututawala sasa tunawaita tena kwa hiari watukomboe kwenye umasikini wetu wa akili na mali go figure time will tell alwaysWalioifanya Tanganyika koloni ni wazungu,wajeruman na waingereza,soma history vzr, waarabu unawachukia Kwa ukafir wako tuh
Kudharauliana korona Tanzania kuliua watu wengi sana kwa ujinga na ubishi wetu korona ilitusaidia kitu kimoja tu kumuondoa yule fedhuli firauni Asante koronaKujiletea maendeleo yanayoendana na upeo, ubunifu binafsi nirahisi kuwa na uchumi wa kuigwa!( mfano tulipo kataa kuburuzwa na mipango ya corona tukaenda kivyetu) Lakini kutegemea kutengenezewa upeo wa maendeleo daima utakuwa mtazamaji tu na utabaki kuwa mediocre! Hakuna aliye naroho nzuri ya kukupa maendeleo chumbani mwako alafu aondoke akitabasamu watu wasijiulize!
Uvivu wa kuamua na kujikubali ndio umetufikisha hapa pa kumpigania mwanaume mmoja aliyejaaliwa jangwa na rasilimali mafuta yaliyohitaji kujitoa jasho na damu kuyafikia chini ya ardhi zaidi ya kilomita sitini!
Sisi tuliojaaliwa kuhifadhiwa rasilmali hizi na wazazi/wapigania uhuru wetu , rasilimali zilizoning’inia mpaka juu ya miti na milima ukiachilia chini ya ardhi na bahari tukijiita wasomi tunalifanyia nini taifa!!?? Je kizazi hiki cha millennium na cha 70 -80s kipi kilaumiwe!!? Je bongo zinawaza starehe zaidi ubinafsi au nimfumo hauendani na tamaduni zetu!?
Maamuzi ya kivivu yametujaa hatutaki kufanya kazi kwelikweli nakuwa wabunifu kwa maono tuliyojaliwa na muumba wetu kwa taifa letu Tanzania!
Wao wanaweza wana nini na sisi tunashindwa tuna nini!!??
Hana cha maana amezeeka ni yale yale ya miaka nenda rudi huyo mzee akili imekwama karne iliyopita ya ujamaa na omba ombaNatafuta kujua alichoongea Jenrali Ulimwengu. Sijapata
Ameuza au wamepewa bure in mwenzake words bule bule alafu anfulahi na kukunua menoMnazungumzia mkataba wa bandari tu kuna mingine ya TANESCO, TPDC, Kampuni ya Mafuta ; mashirika yote haya Samia ameidhinisha yaingie mikataba na UAE!
Huyu mama anauza nchi yetu kwa waarabu!
Nitajie bandari moja tu Zanzibar ambayo hakuna mwekezaji kutoka nje.Kila mwenye akili timamu hawezi kuunga mkono mkataba wa kubinafisisha Bandari zetu zote Tanganyika halafu za Zanzibar zikiachwa
Eti Warioba na Nyerere ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofikia?! una upeo mdogo sana.Hawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!
Hii ndio thinking inayohitajika hapa JF, welldone!.Acha fikra za kimasikini bro, ujamaa umeisha lini mpka leo kuna progress gani mmeipiga??
Kwa hyo umasikini wamo wa leo umesababishwa na ujamaa wa miaka 30+ iliyopita.
MchambawimaNitajie bandari moja tu Zanzibar ambayo hakuna mwekezaji kutoka nje.
Zanzibar bandari ni tatu, Malindi, Mangapwani, an Mpigaduru. Ipi ambayo hayupo muwekezaji kutoka nje?
Wacha kujitoa akili makusudi, hebu nenda kaisome ile rasimu ya Warioba, kisha uje hapa utuambie kama inafanana na hii Katiba mbovu tuliyonayo kwa ubora, au ile Katiba pendekezwa ya CCM.Katiba ya warioba Iko wapi? Watu wanataka katiba mpya….
Hakuna alama, we are still using the same katiba ya 1977, unless hujui Maana ya alama
Alama ni kitu kilichopo na kinachoishi
Yake ilitupwa kaapun
Ndio nini?Mchambawima
Mkuu Kenya haijawahi kuwa nchi ya kijamaa! Vipi maendeleo yake?Hawa wazee ndio walioifikisha hii nchi hapa ilipofika, ndio walioshauriana na huyo Nyerere kuleta ujamaa nchini mwisho wa siku tukaangukia kwenye umasikini wa kutupa mpaka leo tunajitafuta. Pumbav zao!