Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Acha matusi, kuwa na kipara ni maumbile tu. Pengine hata wewe ukifika umri huo itakuwa na kipara. Kuwa CHADEMA kusikufanye uwadharau watu wazimaSasa hiyo hazina yenu yenyu vipara inawafundisha nini kama hamjui hata wajibu wa msingi wa serikali inayokusanya kodi na tozo kutoka kwa raia wake?!