careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Tofautisha mbunge na huyo smart wako wa mtaan!sahihi kwa 100%, wanasiasa akishaitwa mheshimiwa tayari anajiona yeye ni mtu maalum sana wakati kiuhalisia ni tofauti.
kuna watu kibao huku kitaa wapo smart sana kichwani kuliko hako kakikundi kanakoongozwa na Ndugai pale Dodoma!
Nipo misere sahizMkuu lala
Hakuna lolote hapo ni kujikweza tuu, kwanza hivyo vyeo kama ubunge majority waliiba kura, wengine walipita kwa figisu bila kupigiwa kura, sasa hoja kwamba wamepewa cheo na wananchi haina mashiko. Hivi ukiitwa ndugu mbunge au ndugu mwenyekiti akili kichwani itahama au busara zitahama??Mtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Pia amewahi kuwa mbunge na amewahi kuwa jaji, achilia mbali tume mbalimbali zilizoundwa na rais ambapo yeye aliteuliwa kuwa mwenyekiti mfano tume ya rasimu ya katiba pendekezwaWewe na yeye mzee Warioba nani anajua zaidi mambo ya kiutawala?
Huyo mzee ni waziri mkuu mstaafu unaleta usukununu wako hapa?
Warioba ndiyo kundi la Nyerere ambao walipinga but walishindwa na hilo kundi la wengi..Nakumbuka wakati wa Mwalimu hakukuwa na neno Mheshimiwa kwa mtu yeyote, viongozi wote walikuwa wakiitwa Ndugu kasoro Rais ambaye alikuwa pia akiitwa Mtukufu Rais! Baada ya Mwalimu Nyerere kutoka madarakani, ukaibuka mjadala Bungeni Wabunge wakitaka waitwe Waheshimiwa (Honorable). Mwalimu alipinga lakini wakamwambia mbona Uingereza wanaitwa Honorable. Wakapitisha sheria wakaanza kuitana Waheshimiwa. Siyo wakati wa akina Waryoba kweli?? Tafuta wazee watukumbushe. Ila wakati Waryoba ni PM Rais wake alikuwa akiitwa Mtukufu Rais, na Mzee sikumsikia akisema kitu kwa kuwa labda alikuwa na kitu.
Ndiye mzee pekee mwenye busara aliyebaki kwa sasaMzee wetu Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba amesema kulazimisha watu wakuite wewe kuwa ni mheshimiwa mbunge, mheshimiwa waziri ,mheshimiwa diwani huko ni kuweka matabaka kwenye jamii ya watanzania.
Hii inapingana na Naibu Spika alivyogombana na Mbunge wa Mbeya Mjini Mbilinyi. Tulia alilazimisha kuitwa Mheshimiwa Naibu Spika
Hakika mzee Warioba ni tegemeo la watanzania kwa busara.
Chanzo dakika 45 itv.
Ushahidi upo humu ni kweli Nyerere J. K. Aliitwa Ndugu, ipo video youtube chipukizi akimkaribisha kukagua gwaride alimwita ndugu.., alikuwa na utu toka damuniAcha uwongo. Nyerere hakuwa anaitwa mtukufu Rais. Alikuwa akiitwa Ndugu Rais. Kenya walikuwa wanamwita mtukufu Rais Arap Moi, wote watanzania tulikuwa tunashangaa. Wakati huo nikiwa chipukizi, nilimvisha Mwalimu skafu mara 2, mara zote nilimwita Ndugu Rais ..... Mwinyi ndiye kwa mara ya kwanza aliitwa Mtukufu Rais, na wabunge wakajiita waheshimiwa.
Wewe ni mdharauliwa?Mtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Umeonaeee?Pia amewahi kuwa mbunge na amewahi kuwa jaji, achilia mbali tume mbalimbali zilizoundwa na rais ambapo yeye aliteuliwa kuwa mwenyekiti mfano tume ya rasimu ya katiba pendekezwa
Yaani mtu/mbunge umwajiri wewe mwananchi kupitia kura yako halafu umwite mheshimiwa? KhaaMtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Siyo lazima aitwe mheshimiwa, ni ndugu tu inatoshaMtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Nipo Ufipa ndiyo maana sioniumebarikiwa kupewa macho lkn huoni ndiyo maaana upo ccm
huyu mzee angekuwa rais wa sasa wa jamhuri ya muungano wa tanzania nchi ingekaa sawa sana.,Mzee wetu Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba amesema kulazimisha watu wakuite wewe kuwa ni mheshimiwa mbunge, mheshimiwa waziri, mheshimiwa diwani huko ni kuweka matabaka kwenye jamii ya watanzania.
Hii inapingana na Naibu Spika alivyogombana na Mbunge wa Mbeya Mjini Mbilinyi. Tulia alilazimisha kuitwa Mheshimiwa Naibu Spika
Hakika mzee Warioba ni tegemeo la watanzania kwa busara.
Chanzo dakika 45 itv.
Hiyo tafsiri kapeleke kijijini kwenu! Nyerere mwenyewe alikuwa anaitwa ndugu. Tulia ndo nani!Mtu aliyepewa cheo na wananchi ni mheshimiwa na ni vyema kupewa heshima yake hiyo! Mbunge amechaguliwa na wananchi kwahiyo ni mheshimiwa, mwenyekiti wa kijiji amechaguliwa na wananchi ni mheshimiwa pia! Gar la mbunge likipita linapeperusha bendera askari anarakiwa kuipigia salut bendera! Tuache wivu!
Ngoja tusahihishe kidogo.Nakumbuka wakati wa Mwalimu hakukuwa na neno Mheshimiwa kwa mtu yeyote, viongozi wote walikuwa wakiitwa Ndugu kasoro Rais ambaye alikuwa pia akiitwa Mtukufu Rais! Baada ya Mwalimu Nyerere kutoka madarakani, ukaibuka mjadala Bungeni Wabunge wakitaka waitwe Waheshimiwa (Honorable).
Mwalimu alipinga lakini wakamwambia mbona Uingereza wanaitwa Honorable. Wakapitisha sheria wakaanza kuitana Waheshimiwa. Siyo wakati wa akina Waryoba kweli?? Tafuta wazee watukumbushe. Ila wakati Waryoba ni PM Rais wake alikuwa akiitwa Mtukufu Rais, na Mzee sikumsikia akisema kitu kwa kuwa labda alikuwa na kitu.