Mzee Yusuph aamua kuachana na muziki na kumrudia Mungu wake

Kaswida sio dhambi, huu muziki wa vinanda, gitaa n.k ndio haramu

N.B mimi sio muislam ila nina rafiki ustaadh huwa ananipa mawaidha
Umeshawahi kumuuliza ni kwanini keyboard na gitaa vimeharamishwa peke yake?
 
Hivi atapata msamaha kwa Allah kweli?au anajidanganya? Alishamkosea Mungu huyu na watu wengine ,watu wamevunja ndoa zao kwa ajili ya taarabu yake .Sasa Mungu atampa msamaha je wale aliewakosea?
Huo utaratibu wa kusamehe ala hana.
 
Kuna kipindi alisema atagombea jimbo huko Zanzibar em mtu anaejua alikua chama gani atupe taarifa sababu alisema atatangaza nia ila sikumsikia tena.

Pia nampongeza kuacha mziki wa taarab ni mziki wa wambea na wapika majungu sionagi kama una la maana zaidi ya kuimba upuuzi.
 
Hahaaa comments zinatgemeaa aliendika post n wa ibilisi AMA lah
 
dah ndo basi tena tushamkosa mwamba na tutarajie kukosa ladha ya kundi la jahazi maana ye ndo kiongozi ,na likifa jahazi ndo mwisho wa taarabu kwa kuwa itakosa ladha kwa kiasi kikubwa hayo makundi mengine yapoyapo tu, daah mzee rudi bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…