Mzigo uko tayari! Ground invasion ndani ya Lebanon soo. Tunaenda kuona version two of Gaza

Mzigo uko tayari! Ground invasion ndani ya Lebanon soo. Tunaenda kuona version two of Gaza

Ila wateule wasiivamie Lebanon Hezbollah ni more organized na discipline terror organisation ukilinganisha na magaidi Hamas. Watapoteza wanajeshi wengi sana. Ila all the best.
Hapa at least hapa Mangi umeeleza kwa jichonla uchambuzi
 
Kama naona hekaheka za huko peponi... Saiv wako busy kufyatua bikra za kutosha, mzigo mpya wa vijana wa itikadi kali unakaribia kuingia
Samahani hebu nieleweshe hao bikira wanafyatuliwa kutoka wapi na anaefyatua ni nani? Na hao bikira wakishabikiriwa huwa wanapelekwa wapi? Maana ukishabikiriwa unakuwa useless. Je kuna bikira wa kichina pia au ni waarabu tu?
 
Samahani hebu nieleweshe hao bikira wanafyatuliwa kutoka wapi na anaefyatua ni nani? Na hao bikira wakishabikiriwa huwa wanapelekwa wapi? Maana ukishabikiriwa unakuwa useless. Je kuna bikira wa kichina pia au ni waarabu tu?
kwa hii rate huko ahera kwao inabidi lipelekwe kontena la ma dildo maana mabikra watakua adimu
 
Broo umevuka mipaka,HAKUNA WATU WAJINGA DUNIANI ZAIDI YA WAKRISTO.Mtu mwenye akili hawezi kumshabikia mtu au watu waliomuua Mungu wako,halafu pia mwenye akili hawezi kumuamini Mungu aliyesurubiwa na kuuwawa.
Kasomea historia , warumi na wayaudi ni watu wawili tofauti , warumi ndio walimuua yesu ( warumi ni jamii iliyotawala Dunia wakitokea Urumi Sasa hv ipo ndani ya Italy , baadhi ya maeneo ya Ujeruman na Hispania )

WAJINGA KAMA WEWE MPO WENGI SANA , YESU ALIKUWA MYAUDI ILA WALIOMUUA NI SERIKALI YA KIRUMI na sio wayaudi
 
Kasomea historia , warumi na wayaudi ni watu wawili tofauti , warumi ndio walimuua yesu ( warumi ni jamii iliyotawala Dunia wakitokea Urumi Sasa hv ipo ndani ya Italy , baadhi ya maeneo ya Ujeruman na Hispania )

WAJINGA KAMA WEWE MPO WENGI SANA , YESU ALIKUWA MYAUDI ILA WALIOMUUA NI SERIKALI YA KIRUMI na sio wayaudi
KWA AKILI HIZI ZA KINDEZI MWAMPOSA ATAWAFUMUA MPAKA MTOKE DAMU,SALA YA MARIA NI MOJA YA VITU AMBAVYO VINADHIHIRISHA KWAMBA AKILI ZENU NGUCHIRO AMEWAZIDI
 
Back
Top Bottom