Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipojitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ni nani aliyewaloga? Hata hivyo Serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
 
Kiukweli haipendezi hata kidogo kuwa na tumifugo tofauti tofauti hapo nyumbani,ikibid hata wawekeeni uzazi wa mpango mpaka pale watakapopata wa kuwaoa

Ebu fikiria ni usiku wa manane na uzee wako unaamshwa umpeleke binti yako akajifungue,fikiria inakera kiasi gani wakati huo kalikompatia mimba kamepiga usingizi kanakoroma tu au kanakula mbususu nyingine kwa raha yake

Unazaa watoto kulingana na kipato chako lakin hao watoto uliozaa nao wanazaa tena kukuongezea idadi ya watoto wakati wewe uliona uwezo wako unaishia watoto wanne

Kuna wakati huwa nafikiria nijenge nyumba mbali na kwangu,binti akipata mimba naenda kumtupa huko apambane na hali yake
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani, Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu...
Upo sahihi ✔️!! But uzazi wa mpango ni suluhisho? Kwanza mabint weng wa sasa ukiwafuatilia san lifestyle zao na mentality zao ni kwamba wanaona ndoa ni mzigo, ndoa ni mateso.

Eventually wanaishia kutumika na kuzalishwa then baada ya hapo sasa... Utasikia anajivunia mitandaon kua... Single mama, mara utasikia am happy am single and am enjoying life!!!
 
Upo sahihi ✔️!! But uzazi wa mpango ni suluhisho? Kwanza mabint weng wa sasa ukiwafuatilia san lifestyle zao na mentality zao ni kwamba wanaona ndoa ni mzigo, ndoa ni mateso. Eventually wanaishia kutumika na kuzalishwa then baada ya hapo sasa... Utasikia anajivunia mitandaon kua... Single mama, mara utasikia am happy am single and am enjoying life!!!
🤣🤣🤣🤣Atiii
Am single ..am happy am enjoying my life...😂😂😂😂😂kwenye macho ya watu
 
Upo sahihi ✔️!! But uzazi wa mpango ni suluhisho? Kwanza mabint weng wa sasa ukiwafuatilia san lifestyle zao na mentality zao ni kwamba wanaona ndoa ni mzigo, ndoa ni mateso. Eventually wanaishia kutumika na kuzalishwa then baada ya hapo sasa... Utasikia anajivunia mitandaon kua... Single mama, mara utasikia am happy am single and am enjoying life!!!
Nimeona ni Bora embu fikiria unao mabinti WATATU hujakaa sawa wanapata ujauzito , na mwingine na mwingine Tena kila mmoja zaidi ya mtoto mmoja embu pata hiyo picha afu ni maskani kwako weww mzee
 
Nimeona ni Bora embu fikiria unao mabinti WATATU hujakaa sawa wanapata ujauzito , na mwingine na mwingine Tena kila mmoja zaidi ya mtoto mmoja embu pata hiyo picha afu ni maskani kwako weww mzee
Mzee ni mtihan but upande wang nna katiba ndan ya nyumba yang ambayo hata mke akitetea mtoto kwa ujinga au mamb kama hayo atahama na mtoto wake!! Lazima tuwe wakwel tu.. malez ya sasa ni ya hovyo mnoo, unakuta mama anamuita bint yake shogaa!!
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani, Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea...
Mkuu unasomeka. Lakini (samahani) swali moja ndugu kIdogo nje ya mada. Hivi ugonjwa Kagera umeshaeleweka?
 
Binti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia nyumbani jitathimini, unapaswa kuwa mkali
 
Na wakiume wanaolelewa watoto wao kwa wazazi wao nao wakae wakijua inawauma sana wazazi wao!!Tusibaki kuwalaumu wakike tu kwa kuwa hawazai kwa uwezo wa Roho Mtakatifu bali kuna ushiriki wa jinsia Me pia!!!
 
Wakishaacha watoto nyumba huwa wanakuja mjini kuwataftia chochote kitu.ukienda mbele ukirudi nyuma hawa masingo mama hulea sana familia zao
Haipo kama uwazavyo mzee!! Kwanza hakuna malezi bora kama ya baba na mama hata kama hamuishi pamoja but mna take care mtoto au watoto. Hawa single mama unaosema huku mjin kwanza wanatmbeka kinyama ili mradi aweze kujikimu na mahitaj yake pamoja na mtoto au watoto. Kiujumla wanapitia mazingira magumu ili wapate pesa!!!
 
Back
Top Bottom