Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Binti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia nyumbani jitathimini, unapaswa kuwa mkali
Swala la kuomba Mungu vijana wa sasa utakuja shangaa mwenyewe
 
Hii mada ngumu sana aiseeeee ngoja niwe mpenzi msomaji tu, maana naona wanaume wamekua wakali kwa mabinti zao wakati wanasahau kwamba nawao wamewazalisha mabinti za wababa wengine.
Anyway...... sitaki kutukana mamba wakati bado sijavuka mto, zaidi ninajitahidi kuongea na binti zangu kuhusu mahusiano na siachi kuwaombea.
 
Matoto ya kiume ya sasa ni mapumbavu labda kazalisha mtoto wa watu then halina time hata kutoa huduma lipo maskani limeweka suruali chini ya kiuno sijui linavuta mabangi ..yaani kichwa empty kabisa halijui dhuluma linayofanya dhidi ya binti wa watu .

Matoto kama hayo ndo yanakuja kufa vifo vibaya kwani nyuma yao Kuna nafsi inasononeka dhidi ya usaliti mbaya ..

Ungemuacha akapata mtu atakaye muoa basi Tamaa za nn ni ushamba...Ndo maana maisha ya vijana yasiyo na future kuvaa uchafu uchafu kuvuta mabangi sijui nn kulewa bila ya sababu ,mara starehe za kijinga ni totally USHAMBA..Mtu mpaka akija jitambua miaka 45 huko basi anaishi kwa majuto kama alikuwa mvuta shisha na mlevi mda huo kashaanza kushambulia na TB na magonjwa ya mapafu ni majuto tu jamani vijana wenzangu.

Tuamkeni kuzalisha ovyo ni laana baada unaenda kuoa kwingine tufikirie mara 2 hali kama hizi ..Mtoto wa mtu kakuamini mpaka kavua nguo then unamuacha solemba nn tunatafuta kama sio laana?
 
Hawazilishi kwa kukusuidia, inakuwa hata sio mpango wao kupata watoto. Elimu na huduma za uzazi wa mpango inabidi viboreshwe .
Matoto ya kiume ya sasa ni mapumbavu labda kazalisha mtoto wa watu then halina time hata kutoa huduma lipo maskani limeweka suruali chini ya kiuno sijui linavuta mabangi ..yaani kichwa empty kabisa halijui dhuluma linayofanya dhidi ya binti wa watu .

Matoto kama hayo ndo yanakuja kufa vifo vibaya kwani nyuma yao Kuna nafsi inasononeka dhidi ya usaliti mbaya ..

Ungemuacha akapata mtu atakaye muoa basi Tamaa za nn ni ushamba...Ndo maana maisha ya vijana yasiyo na future kuvaa uchafu uchafu kuvuta mabangi sijui nn kulewa bila ya sababu ,mara starehe za kijinga ni totally USHAMBA..Mtu mpaka akija jitambua miaka 45 huko basi anaishi kwa majuto kama alikuwa mvuta shisha na mlevi mda huo kashaanza kushambulia na TB na magonjwa ya mapafu ni majuto tu jamani vijana wenzangu.

Tuamkeni kuzalisha ovyo ni laana baada unaenda kuoa kwingine tufikirie mara 2 hali kama hizi ..Mtoto wa mtu kakuamini mpaka kavua nguo then unamuacha solemba nn tunatafuta kama sio laana?
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani, Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu. Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako. Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao

Pamoja na yote nisiache kukumbusha:

"Barack Obama alizaliwa na kulelewa na bibi yake mzaa mama yake."

Tumhofie mola ndugu zangu.
 
Na wakiume wanaolelewa watoto wao kwa wazazi wao nao wakae wakijua inawauma sana wazazi wao!!Tusibaki kuwalaumu wakike tu kwa kuwa hawazai kwa uwezo wa Roho Mtakatifu bali kuna ushiriki wa jinsia Me pia!!!

Swala LA Mwanamke kupata mimba au kutopata lipo mkononi make,binti anaendaje kupata mimba kwa MTU ambaye anakna kabisa hamna future na yeye mwenyewe kipato bado.
 
Elimu na huduma za uzazi wa mpango vipewe uzito kwa vijana
Kiukweli haipendezi hata kidogo kuwa na tumifugo tofauti tofauti hapo nyumbani,ikibid hata wawekeeni uzazi wa mpango mpaka pale watakapopata wa kuwaoa

Ebu fikiria ni usiku wa manane na uzee wako unaamshwa umpeleke binti yako akajifungue,fikiria inakera kiasi gani wakati huo kalikompatia mimba kamepiga usingizi kanakoroma tu au kanakula mbususu nyingine kwa raha yake

Unazaa watoto kulingana na kipato chako lakin hao watoto uliozaa nao wanazaa tena kukuongezea idadi ya watoto wakati wewe uliona uwezo wako unaishia watoto wanne

Kuna wakati huwa nafikiria nijenge nyumba mbali na kwangu,binti akipata mimba naenda kumtupa huko apambane na hali yake
 
Back
Top Bottom