Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Mtawalaumu mabinti bure tuu shida ni wazazi wenyewe. Huwezi kuniaminisha kwamba binti yako wa kike anaanza kugegedwa wewe mzazi usijue. Na kama hujui basi wee hufai kuwa mzazi.

Kama baba kila mwisho wa wiki unapaswa kumkagua mtoto wa kike kama anabandiliwa au lah.
 
Binti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia
Binti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia nyumbani jitathimini, unapaswa kuwa mkali
Malezi ya siku hizi yana changamoto mno....Labda mkuu utuambie na sisi utatumia njia gani kumdhibiti binti yako asizalie nyumbani?
 
Binti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia nyumbani jitathimini, unapaswa kuwa mkali
Mie dada zangu wanne wamezalia nyumban na bado wanaishi nyumban !! Wazaz wapo kimyaa inaniumaa na sjui nifanyee nn??
 
Wazo la kukataa ndoa ni zuri tu vijana tuendelee nalo, simuoi dadaako humuoi dadaangu wanazalishwa wanabaki hapo nyumbani, at least hawa wenye vikazi vyao wanaweza kwenda kupanga na watoto wao maisha yakashonga, kimbembe kwa sie wa tandale kwa mtogole
 
Sijui haya mambo yanakuja vipi kuna majirani zetu mabinti zake wote kila mmoja ameleta mtoto wake na wengine wanazalia hapo kwao,
Ila mengine wazazi ndo wanasababisha,wazazi wengine wanakwambia mi kazi ya kulea watoto nishamaliza na hivyo sitaki kuona mtoto wa mtu hapa,amemaliza
 
Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Mzigo mkubwa unamwangukia mwanamke lakini jukumu la kurekebisha hili liko kwa wote, ke na me.

Kila siku hapa nyinyi vijana wa kiume munakuja kujisifu jinsi munavyochepuka nje ya ndoa au munavyokuwa na uhusiano na wanawake wawili, watatu na kadhalika...... matokeo yake ndiyo hayo sasa.

Unapojisifu kuhusu mchepuko kwa kujua ni binti tu ujue na mdogo au dada yako naye yuko katika kundi hilo hilo.

Kemeo liwepo kwa wote siyo kujiona wanaume wao wawe free kufanya wanavyopenda.
 
Mzigo mkubwa unamwangukia mwanamke lakini jukumu la kurekebisha hili liko kwa wote, ke na me.

Kila siku hapa nyinyi vijana wa kiume munakuja kujisifu jinsi munavyochepuka nje ya ndoa au munavyokuwa na uhusiano na wanawake wawili, watatu na kadhalika...... matokeo yake ndiyo hayo sasa.

Unapojisifu kuhusu mchepuko kwa kujua ni binti tu ujue na mdogo au dada yako naye yuko katika kundi hilo hilo.

Kemeo liwepo kwa wote siyo kujiona wanaume wao wawe free kufanya wanavyopenda.
Penye madhara zaidi ndipo panapofaa kushughulikiwa kwa haraka
 
Mama yake Obama nae alikuwa kiruka njia,maana nae alikuwa na wanaume 3-4 tofauti.Ila uzuri wake yeye alikuwa na kipato.
Tafadhali punguza uzushi, mama yake Obama hakuwa kiruka njia. Aliolewa na Barack Obama Sr ambaye alikuwa na mke kwao Kenya na baadae akapewa talaka. Mume wake wa pili alikuwa Muindonesia (Saitoro) ambaye alizaa naye mtoto mmoja wa kike na baadae wakaachana akarudi kwao Marekani kufanya kazi. Tena huyu Saitoro alikwenda naye Indonesia pamoja na Barack mdogo ambae alisoma kule mpaka akafika darasa la tano ndiyo akaenda marekani kukaa kwa bibi na babu yake.

Hao wengine ni wa kwako wa kuzua.
 
Tafadhali punguza uzushi, mama yake Obama hakuwa kiruka njia. Aliolewa na Barack Obama Sr ambaye alikuwa na mke kwao Kenya na baadae akapewa talaka. Mume wake wa pili alikuwa Muindonesia (Saitoro) ambaye alizaa naye mtoto mmoja wa kike na baadae wakaachana akarudi kwao Marekani kufanya kazi. Tena huyu Saitoro alikwenda naye Indonesia pamoja na Barack mdogo ambae alisoma kule mpaka akafika darasa la tano ndiyo akaenda marekani kukaa kwa bibi na babu yake.

Hao wengine ni wa kwako wa kuzua.
Sahihi
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Acha walee tuu maana huo ujinga wanalea wao.
 
Back
Top Bottom