Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Binti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia nyumbani jitathimini, unapaswa kuwa mkali hutaki Binti yako azalie kwako Sasa akazalie wapi?,maana umri ukifika huyo Binti yako lazima tu atataka wanaume maana tendo la kujamiana ni asili,Cha kusikitisha ni kwamba waoaji siku hizi hawapo,na huyo Binti yako akikaa bila kuzaa wewe kama mzazi lazima uguswe tu,Kwa ufupi wa kuwazalisha wapo ila wa kuwaoa siku hizi hawapo.Tuwapende mabinti zetu hapo kwako ndio kwao tusiwanyanyapae kisa jinsi zao.
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Wazazi nao wachangamkie tenda. Licha ya kuhakikisha wanawasomesha binti zao, waanzishe utaratibu wa tangu watoto wakiwa wadogo, wa kukubaliana na familia tofauti tofauti zenye watoto wa kiume, kwamba watoto waje kuoana panapo majaaliwa hapo baadae. Wanapokuwa wa umri wa kubalehe, nao wataarifiwe kuwa fulani ndie atakuwa mwenza wa maisha yako na hatimaye waolewe kama ilivyopangwa kama wataridhiana. Inaweza kupunguza mapepe na kurukaruka kwa msichana na mvulana pia.
 
Wazazi nao wachangamkie tenda. Licha ya kuhakikisha wanawasomesha binti zao, waanzishe utaratibu wa tangu watoto wakiwa wadogo, wa kukubaliana na familia tofauti tofauti zenye watoto wa kiume, kwamba watoto waje kuoana panapo majaaliwa hapo baadae. Wanapokuwa wa umri wa kubalehe, nao wataarifiwe kuwa fulani ndie atakuwa mwema wa maisha yako na hatimaye waolewe kama ilivyopangwa kama wataridhiana. Inaweza kupunguza mapepe na kurukaruka kwa msichana na mvulana pia.
Haha
 
Wazazi nao wachangamkie tenda. Licha ya kuhakikisha wanawasomesha binti zao, waanzishe utaratibu wa tangu watoto wakiwa wadogo, wa kukubaliana na familia tofauti tofauti zenye watoto wa kiume, kwamba watoto waje kuoana panapo majaaliwa hapo baadae. Wanapokuwa wa umri wa kubalehe, nao wataarifiwe kuwa fulani ndie atakuwa mwema wa maisha yako na hatimaye waolewe kama ilivyopangwa kama wataridhiana. Inaweza kupunguza mapepe na kurukaruka kwa msichana na mvulana pia.



Haiwezekani sababu nature is already ordered [emoji28]
 
Kiukweli haipendezi hata kidogo kuwa na tumifugo tofauti tofauti hapo nyumbani,ikibid hata wawekeeni uzazi wa mpango mpaka pale watakapopata wa kuwaoa

Ebu fikiria ni usiku wa manane na uzee wako unaamshwa umpeleke binti yako akajifungue,fikiria inakera kiasi gani wakati huo kalikompatia mimba kamepiga usingizi kanakoroma tu au kanakula mbususu nyingine kwa raha yake

Unazaa watoto kulingana na kipato chako lakin hao watoto uliozaa nao wanazaa tena kukuongezea idadi ya watoto wakati wewe uliona uwezo wako unaishia watoto wanne

Kuna wakati huwa nafikiria nijenge nyumba mbali na kwangu,binti akipata mimba naenda kumtupa huko apambane na hali yake
Asipo patikana wakuoa itakuaje mkuu ? Au haujui tunapoenda nafasi za mabinti kuolewa zina zid kuwa ndogo.
 
Sijui haya mambo yanakuja vipi kuna majirani zetu mabinti zake wote kila mmoja ameleta mtoto wake na wengine wanazalia hapo kwao,
Ila mengine wazazi ndo wanasababisha,wazazi wengine wanakwambia mi kazi ya kulea watoto nishamaliza na hivyo sitaki kuona mtoto wa mtu hapa,amemaliza
Wazazi ndio wanafanya haya mambo yaendelee. Kila mzazi angeweka ngumu hamna mtoto wa kike angeshika mimba hovyo. Tatizo ni wazazi kuwa maboya. Yaani kweli mzazi na akili yako mtoto wako wa kike anakuja kuzalia nyumbani na wee u akenua meno tuu...eti nalea mjukuu. Pumbaf kabisa. Watu wazima hovyoooo
 
Wazazi ndio wanafanya haya mambo yaendelee. Kila mzazi angeweka ngumu hamna mtoto wa kike angeshika mimba hovyo. Tatizo ni wazazi kuwa maboya. Yaani kweli mzazi na akili yako mtoto wako wa kike anakuja kuzalia nyumbani na wee u akenua meno tuu...eti nalea mjukuu. Pumbaf kabisa. Watu wazima hovyoooo
Noma Sana mkuu
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao

Kampeni ya Uzazi wa Mpango ina miaka 20 hapa nchini Mkuu.
Labda useme serikali iwekee mkazo.

Pia iongeze Hali ngumu ya Maisha ili kudhibiti kuzaa Sana
 
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Yasikukute mkuu.binti yako akizaa hapo nyumbani mpokee tu.ukimfukuza ndio balaa linapoanzia.
 
Hii mada ngumu sana aiseeeee ngoja niwe mpenzi msomaji tu, maana naona wanaume wamekua wakali kwa mabinti zao wakati wanasahau kwamba nawao wamewazalisha mabinti za wababa wengine.
Anyway...... sitaki kutukana mamba wakati bado sijavuka mto, zaidi ninajitahidi kuongea na binti zangu kuhusu mahusiano na siachi kuwaombea.
Bora wee umesema, hakika Una busara.
 
Haya mambo haya! Watoto jitahidini basi, ni ubinafsi Mzazi kukulea kwa miaka zaidi ya 20 na kukulelea mtoto/watoto wako ikiwa uko hai.

Ikitokea muombe mzazi wako akuangalizie mtoto hata kwa two years ukajipange.
Si mpaka awe na hiyo akili...Kuna binti kazaa watoto nane nyumbani..na wote 80% analea Mama ake mzazi.
 
Haya mambo haya! Watoto jitahidini basi, ni ubinafsi Mzazi kukulea kwa miaka zaidi ya 20 na kukulelea mtoto/watoto wako ikiwa uko hai.

Ikitokea muombe mzazi wako akuangalizie mtoto hata kwa two years ukajipange.
Kuna jamaa yangu flani hua namshangaa sana, yani yeye amewapeleka watoto wake kwa baba na mama yake (babu na bibi) eti ndio wanamsaidia kulea.
Basi mimi hua namuuliza kwamba hizo pesa tunazo iba huku kazini anazifanyia nini?? Yaani haoni kama hizo pesa hazimsaidii na watoto wake wanakosa malezi ya baba??
 
Si mpaka awe na hiyo akili...Kuna binti kazaa watoto nane nyumbani..na wote 80% analea Mama ake mzazi.
Kabla sijaoa nilikua singo baba with 5 kids.
Sasa hii kiti ilikua inamtesa sana mama yangu akitaka niwapeleke watoto wangu kwake akawalee na niwe namtumia mahitaji tu.... aiseee nilimkatalia na nikamwambia hawa ni watoto wangu na niwajibu wangu kuwalea mimi mwenyewe.
Basi mama yangu alikua anaumia sana, ila nashkuru Mungu wote walikua vyema na aliekua mdogo wakati huo leo yupo class 7 wakati wakubwa zake wapo chuo huko.
Ila badae nilioa na nikaongeza wengine 3...🙈
 
Kuna jamaa yangu flani hua namshangaa sana, yani yeye amewapeleka watoto wake kwa baba na mama yake (babu na bibi) eti ndio wanamsaidia kulea.
Basi mimi hua namuuliza kwamba hizo pesa tunazo iba huku kazini anazifanyia nini?? Yaani haoni kama hizo pesa hazimsaidii na watoto wake wanakosa malezi ya baba??
Jirani, kuna watu hawataki kukaa na watoto wao, nafuu kwao ni watoto kulelewa na watu wengine na wao kutuma pesa tu. Kuna kundi hili la wakwepa majukumu na kundi lile lingine la walioleta watoto duniani wakati hawana uwezo wa kuwalea wala kuwahuduma sababu na wao hawajiwezi kabisa.
 
Kuna jamaa yangu flani hua namshangaa sana, yani yeye amewapeleka watoto wake kwa baba na mama yake (babu na bibi) eti ndio wanamsaidia kulea.
Basi mimi hua namuuliza kwamba hizo pesa tunazo iba huku kazini anazifanyia nini?? Yaani haoni kama hizo pesa hazimsaidii na watoto wake wanakosa malezi ya baba??
Aisee
Kuna wakaka wawili ..hao wakizaa na wake zao watoto wanapeleka kwa mama yao..mkubwa ana watoto 7..mdogo watano..na hua wanapelekwa kwa Bibi yao wengine kwa kuachishwa nyonyo..ila Mama yao anawaendekeza vijana wake..Baba yao kaongea na kupandisha mikono juu.
 
Matoto ya kiume ya sasa ni mapumbavu labda kazalisha mtoto wa watu then halina time hata kutoa huduma lipo maskani limeweka suruali chini ya kiuno sijui linavuta mabangi ..yaani kichwa empty kabisa halijui dhuluma linayofanya dhidi ya binti wa watu .

Matoto kama hayo ndo yanakuja kufa vifo vibaya kwani nyuma yao Kuna nafsi inasononeka dhidi ya usaliti mbaya ..

Ungemuacha akapata mtu atakaye muoa basi Tamaa za nn ni ushamba...Ndo maana maisha ya vijana yasiyo na future kuvaa uchafu uchafu kuvuta mabangi sijui nn kulewa bila ya sababu ,mara starehe za kijinga ni totally USHAMBA..Mtu mpaka akija jitambua miaka 45 huko basi anaishi kwa majuto kama alikuwa mvuta shisha na mlevi mda huo kashaanza kushambulia na TB na magonjwa ya mapafu ni majuto tu jamani vijana wenzangu.

Tuamkeni kuzalisha ovyo ni laana baada unaenda kuoa kwingine tufikirie mara 2 hali kama hizi ..Mtoto wa mtu kakuamini mpaka kavua nguo then unamuacha solemba nn tunatafuta kama sio laana?
Tatizo ni kwamba wanawake hao ndo wanaume wenye hisia nao, ukiwa mstaarabu ni ngumu sana kupata mwanamke sababu watakuambia hawana hisia na wewe
 
Back
Top Bottom